Miaka ishirini na moja si mtu mzima ndugu.Wakuu habar za jion Mimi ni kijana jinsia ME, Leo saa 6:01 usiku natimiza umri Wa miaka ishirin namoja Namshukuru mungu mungu , wazaz , ndgu na rafiki.
Hivyo napenda tujuzane ni vitu gani muhim nilipaswa kufanya au
Napaswa kufanya katika umri huu ambao Mimi naona nimekuwa MTU mzima.
Ahsanteeni mawazo yenu ni muhimu sna kwangu karbuni.
Heading unatimiza miaka 27Wakuu habar za jion Mimi ni kijana jinsia ME, Leo saa 6:01 usiku natimiza umri Wa miaka ishirin namoja Namshukuru mungu mungu , wazaz , ndgu na rafiki.
Hivyo napenda tujuzane ni vitu gani muhim nilipaswa kufanya au
Napaswa kufanya katika umri huu ambao Mimi naona nimekuwa MTU mzima.
Ahsanteeni mawazo yenu ni muhimu sna kwangu karbuni.
Ok nimeamini kweli huelewekiMkuu typing error naomba mnielewe nna heading 27
Ok nimeamini kweli hueleweki
Dooh!! Kuna watu mmepinda anunue nini?HBD TO YOU BROTHER
Achana na vibumbu nunua cherehani uongeze idadi ya viwanda.
[emoji23][emoji23][emoji23]Ana heading 27 kweli haeleweki [emoji28][emoji28]
But not to that extentMekuu ndg yang tatzo watanzania tuna focus errors/default kuliko solution
Inaonekana uliingoja sana birthday yako! mpaka watu hawakuelewi elewi, mara unakosea kosea kuandika!Mekuu ndg yang tatzo watanzania tuna focus errors/default kuliko solution
Bila shaka bado utakua unakaa kwa wazazi, kama ni hivyo jitahidi Mara moja utoke hapo ili ukajifunze kujitegemea na kujua namna ya kupambana na changamoto mbali mbali za MaishaWakuu habar za jion Mimi ni kijana jinsia ME, Leo saa 6:01 usiku natimiza umri Wa miaka ishirin na saba (27) Namshukuru mungu mungu , wazaz , ndgu na rafiki.
Hivyo napenda tujuzane ni vitu gani muhim nilipaswa kufanya au
Napaswa kufanya katika umri huu ambao Mimi naona nimekuwa MTU mzima.
Ahsanteeni mawazo yenu ni muhimu sna kwangu karbuni.
Mkuu nimeanza kuishi mbali na wazaz( kujitegemea)tangu mwaka 2011Bila shaka bado utakua unakaa kwa wazazi, kama ni hivyo jitahidi Mara moja utoke hapo ili ukajifunze kujitegemea na kujua namna ya kupambana na changamoto mbali mbali za Maisha