Leo natoa like ya 666 . Ina kitu special kwa atakaepata

Babumawe

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2014
Posts
2,556
Reaction score
2,571
Nishagonga like 665 kuwapa watu so leo ni siku ya kumpatia mtu like ya 666, tofauti na like zingine hii kidogo itakuwa unique kwani atakayeipata basi atapata na offer. Nitaitoa kwa atakaecomment kitu cha kitofauti kabisa au uzi wa kitofauti..
offer kwa atakayefanikiwa ni Safari ya kwenda Zanzibar na kukaa kwa muda wa siku 3
KAZI KWENU
 
Atakaa siku tatu huko Zanzibar na kiburudisho au yeye mwenyewe?
 
ngoja niongee na bimkubwa nione kama atanipa ruksa then ntakuja nikomenti
 
Nani amekupatia like ya 666
 
Huko Zanzibar utanipa na ofa ya pisi kali au unanipeleka kavukavu?
 
Duuh brother me nitumie vocha ya buku tu inatosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…