Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Iga ufe, this is the next levelMchezaji hasajiliwi kisa anajua kupiga danadana.
Mchezaji hasajiliwi kisa anatoka nchi inayoongoza kwa kujua mpira, basi ukajua eti nae anajua mpira.
Leo ndio siku MO ataanza kujuta kuhusu pesa zake za usajili zilivyoliwa na wajanja wachache.
Tukutane hapa kwanzia saa 10 jioni ili tufanye zoezi moja tu na si lingine bali ni KUHESABU IDADI YA MAGARASA.
Tukutane uwanjani...
Huu ni wivu wa Kijinsia..!Mchezaji hasajiliwi kisa anajua kupiga danadana.
Mchezaji hasajiliwi kisa anatoka nchi inayoongoza kwa kujua mpira, basi ukajua eti nae anajua mpira.
Leo ndio siku MO ataanza kujuta kuhusu pesa zake za usajili zilivyoliwa na wajanja wachache.
Tukutane hapa kwanzia saa 10 jioni ili tufanye zoezi moja tu na si lingine bali ni KUHESABU IDADI YA MAGARASA.
Tukutane uwanjani...
Ligi ikishachanganya kuna timu huwa wanaanza kulialia kuwa tff inawaoneaLeo ndiyo siku ya kusikia utambulisho wa majina ya wachezaji 'koko' kutoka Brazil! Eduardo dos Santos da silvaaaaa! Ligi itakapochanganya, utashangaa wote watapotea kusikojulikana.
AiseeeeeeeMagarasa yamewekwa benchi ili kuficha aibu
Wale jamaa wa barua FIFA sio?Ligi ikishachanganya kuna timu huwa wanaanza kulialia kuwa tff inawaonea
MORINGA OYEEEE YANGA HAIWEZI KUCOMPETE ATA NA KMCMchezaji hasajiliwi kisa anajua kupiga danadana.
Mchezaji hasajiliwi kisa anatoka nchi inayoongoza kwa kujua mpira, basi ukajua eti nae anajua mpira.
Leo ndio siku MO ataanza kujuta kuhusu pesa zake za usajili zilivyoliwa na wajanja wachache.
Tukutane hapa kwanzia saa 10 jioni ili tufanye zoezi moja tu na si lingine bali ni KUHESABU IDADI YA MAGARASA.
Tukutane uwanjani...
Next level hiyo Vipi......Iga ufe, this is the next level
Mezani FCLigi ikishachanganya kuna timu huwa wanaanza kulialia kuwa tff inawaonea