Leo ndio nimejua kwanini wanawake wanajiingiza katika tabia za udangaji


Ni kweli ila maisha yanatupa hizo chaguzi

Yaani nimewaza leo kuna mtu anataka nikaishi nae au niende tu labda ugumu wa maisha utapungua
 



1.Mama anauza chupa za plastic
2.Unapitia kwa broo kulachakula cha usiku kila siku
3.Nauli imekata kabla ya mwezi kuisha na hujaenda kazini 2days.

Hii story inahuzunisha sana sana.
Pole sana,Mungu akusaidie akupe uvumilivu,natumaini utavuka tuu.Mwanzo mgumu siku zote.

Ila kama umeandika haya kwa ajili ya kuwahadaa watu kwa sababu unazozijua wewe,basi Mungu ataingilia kati
 

Ni ukweli mtupu
 
Why wengi wetu wanaamini kuwa nyuzi nyingi ni za kutunga??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…