Leo ndio nimejua kwanini wanawake wanajiingiza katika tabia za udangaji

Bonge la point. Umeongea vema sana.
 
Pole dada yangu,ukiona hivyo ujue baraka zimekukaribia.
Baraka huwa haziji hivyo mkuu ebu tuachane na ule msemo huu msemo

"ukiona giza linaingia ujue kukucha kunakalibia"

Shida kubwa ya mtoa mada yupo vuguvugu kwa Mungu hayupo na kwa shetani hayup

Shida nyingine Wanawake wa Afrika wanashindwa kuendana na Kasi ya wanawake waliopo huko ulaya ambao wanaamini 50/50
 
Hebu PM namba yako tuweke chochote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…