Leo ndiyo leo,kuachiwa ama kuendelea kutumikia kifungo kwa babu seya na mwanae

Status
Not open for further replies.
Dogo tangu kaka yako Kapuya achanwe live ulipoteea, ulikuwa unaogopa nini!?
Hahahahaaaa
Niliogopa kuunganishwa kwenye kesi aisee maana hawakawii hawa jamaa kunambia nimemlazimisha mtoto wa mwenye nyumba JJ.KK
 
Wafungwe tuuu tena wanyongwe,mnatetea upuuz sio,mbona uzish wa kapuya mmeuchukulia juu juuu afu hawa waliowafanya vbaya vjana wenzetu mnawalilia?oneni aibu nyie
 
Nani yuko Mahakamani atupe Updates siyo tunaponda blabla tuu, wengine tuko mbali jamani
aliye karibu atupe Updates
 
mi nachoshindwa kuuamini hivi kweli umeonewa umefungwa na mdomo wa kusema kama kisa ni nini watu wajue?
 
Mabere Pambana Kuliko Ulivyo Wahi Kupambana Watanzania Wote Tuko Nyuma Yako!
 
Wa congo acheni mambo ya kuchukua wake za watu watanzania wana wivu sana na wanawake zao ukitoka jela mzee tulia na wanawake wa kibongo nenda kachukue wacongo wezako
 
Kwakua mnajadili sana ishu za umeme, Kapuya, unga, tembo, itabidi waachiwe, ili upepo upite.
 
Wafungwe tuuu tena wanyongwe,mnatetea upuuz sio,mbona uzish wa kapuya mmeuchukulia juu juuu afu hawa waliowafanya vbaya vjana wenzetu mnawalilia?oneni aibu nyie
 
Mwenyenzi Mungu awatangulie kwenye hukumu,uwe ya Haki.kusiwepo uonevu wa namna yeyote ile.

Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
 
Kinachomlinda Kapuya ni kwanza ni ccm, pili ana hela, tatu anauza unga na hakamatwi, nne ni Waziri mkuu mtarajiwa kupitia ccm ya Kikwete...

Kinachomlinda Kapuya ni uoga na tabia mbovu za kuabudu watu. Haikuwahi kuandikwa kwenye katiba kua mwana CCM asikamatwe. Whomever he is, can be judged by the law of the country as long as he is guilty.
 
Tunaomba updates please ....

Wengine tuko mbali na Tz.. Noel france
 
Last edited by a moderator:
Watu weweeeeee
Wabakaji wameshindwa,busara za majaji zmetukuka haya leten uzi mwngne
 
!
!
hatatoka kwa sababu ya tyming mbaya,ingekuwa mwaka 2015 au 2016 na kuendelea labda ila na hivi mjomba bado yupo kwa madaraka hahahahahahahahaha nadhani bado ana hasira naer
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…