Mi iko penda hii..utaumiza kichwa sana, mimi ni wa sayari nyingine! chezea rejao wewe!umenena vyema kabisa hadi kifo chako huwezi kujicompare na mimi! you are empty headed, myopic and silly fellow!
Nasaha nzuri sana hizi. But zimeelekezwa kwa wrong persons. Hawa siyo wanandoa wapya. Kila mtu tayari ana experience ya kutosha kwenye maisha ya ndoa.Slaa anaoa? Haya Hongera mzee lakini kuwa mvumilivu maana maisha ya ndoa yana mikiki mingi sana. Ukishindwana na Josephine watasema umezoea una hila. Ndoa ndoana huwezi kuchomoka ukishaingia especially with your reputation na position kwenye society madame anakuwa na nguvu sana hata akifanya nini inabidi uvumilie tu kwa sababu za kisiasa.:happy:
Nasaha nzuri sana hizi. But zimeelekezwa kwa wrong persons. Hawa siyo wanandoa wapya. Kila mtu tayari ana experience ya kutosha kwenye maisha ya ndoa.
Aisee wamekuachia lini tena? Kwakua tulisikia na wewe ulitekwa nyara!
hakuna mtu anatarajia la maana toka kwako, JF nafikiri wanajuta sana kukupa nafasi hii, you are a disappointment to jamii forums!!
Wanabodi, nadhani wengi mtakumbuka kuwa taarifa za vyombo vya habari hasa magazeti zilitueleza kuwa ndoa ya Slaa na mchumba wake (Josephine) imepangwa kufanyika Julai 21, 2012 yaani leo hii Jumamosi huko Karatu. Lakini kulikuwa na uingiliaji wa Mhe. Rose Kamili (mke na mzazi mwenzake Dk. Slaa) ambaye alikwenda mahakamani. Lakini licha ya kwenda mahakamani kulikuwa na maelezo ndoa hiyo ni lazima ifanyike. Mwenye updates plse tuleteeni kuhusu kiongozi huyu ambaye tuliona watoto wake na Mhe. Rose wakitambulishwa bungeni wakati bajeti ya wizara ya kilimo ilipokuwa ikisomwa. Tupeni taarifa kuhusu Slaa.
Hiyo siyo ndoa (WEDDING) kama ambavyo wengi wanaita , lugha fasaha ya tukio la leo la Dr. Slaa na Josephine linaitwa kwa lugha ya wenzetu "THE SACRAMENTS OF HOLY MATRIMONY".
Rejao,
Binadamu ameumbwa na kusahau. Unajua unaweza ukawa unaishi na mwanamke miaka 5 hamjafunga ndoa mkaishi kwa raha sana. Mnakuja kufunga ndoa tu mnakaa mwaka mmoja au miezi 6 tu mnaachana. Pamoja na experience yake lakini Mzee Slaa anatakiwa akumbuke sana swala hili kwamba suddenly mambo yatabadilika ndani ya nyumba. Kama Josephine alikuwa ana supply software kwa Chadema sasa hivi atataka awe anatoa na huduma za catering, magari anunue yeye nk
Na videvu kwaajili ya kufuga midevu kama beberu au UAMSHO"Sisi binadamu tumepewa vichwa kwa ajili ya kufikiri na sio kufugia nywele" AG Werema.
kumbe hii kitu itakuwepo Ndio maana nimemuona mkomatembo Ritz na Rejao wakiwa wananunua Ndizi kwaajili ya kutafunia
stupid advice....akili ya makamasiSlaa anaoa? Haya Hongera mzee lakini kuwa mvumilivu maana maisha ya ndoa yana mikiki mingi sana. Ukishindwana na Josephine watasema umezoea una hila. Ndoa ndoana huwezi kuchomoka ukishaingia especially with your reputation na position kwenye society madame anakuwa na nguvu sana hata akifanya nini inabidi uvumilie tu kwa sababu za kisiasa.:happy:
wadau nina swali, je inaruhusiwa katika waroma kukaa na mwanamke kama kimada hadi mkazaa kisha kuoana? Je hiyo inaitwa ndoa kisheria?
Bora ya wewe unamajukumu mengine zaidi ya kuipigia debe Mabwepande, mwenzio Ritz hushinda akimwaga utitili humu kutetea sinema ya Kova!Siwezi kumkimbia mtu humu ndani, huwa natingwa tu na majukumu
Fahamu kuwa ndio zimeingia TZ hivyo, na hii ndio tumeanza kuishuhudia. Josephine anajiatach kwa Slaa kutokana na political na economical reasons. Sidhani hapo kama kuna marriage inayotokana love!
Bora ya wewe unamajukumu mengine zaidi ya kuipigia debe Mabwepande, mwenzio Ritz hushinda akimwaga utitili humu kutetea sinema ya Kova!
Josephine ni mtoto wa mjini, hashindwi kitu. Kibabu lazima kiingie mkenge!