uroto
JF-Expert Member
- Jun 25, 2015
- 442
- 227
Habari wana Jf
leo ni happy bday yangu ila kutokana na vyuma kuwa vigumu,nimependelea kusheherekea mimi,mke wangu na mtoto
mara nyingi tunapenda kuwashirikisha ndugu jamaa na marafiki
Asante Mungu kwa kuendelea kunipa zawadi hii ya uhai
HAPPY B'DAY TO ME
leo ni happy bday yangu ila kutokana na vyuma kuwa vigumu,nimependelea kusheherekea mimi,mke wangu na mtoto
mara nyingi tunapenda kuwashirikisha ndugu jamaa na marafiki
Asante Mungu kwa kuendelea kunipa zawadi hii ya uhai
HAPPY B'DAY TO ME