Nimezaliwa mwezi na tarehe ya leo, miaka mingi kidogo iliopita,niliingia JF mwaka 2012,namshukuru Mungu kwa kuniweka hai mpaka siku hii ya leo,nafurahi kuwa JF na wana JF tukiendelea kupeana michango mbalimbali,karibuni tujumuike,yawezekana kimwili hatuko pamoja lakini kiroho tuko pamoja kushereheka..