nyani jike
Senior Member
- Feb 23, 2016
- 176
- 223
Mkuu kama nshawahi kukuona mahali au nakufanisha?Hepi besdei to yuuu....!
Ni me!Ni me au Ke?
Mtu akimweka avatar dada yake anaempenda sana kuna ubaya?Mbona avatar ya kike?
Mtu akimweka avatar dada yake anaempenda sana kuna ubaya?
Ni mwanaume huyoHappy birthday perry! live long mtoto mzuri!
Mimi ni mtoto wakike jaman khaaa!kwani vepeeeeeNi mwanaume huyo
wakuu nipongezen basi kwa kutimiza miaka ishirini kadhaa ya kuzaliwa kwangu..na wenye tuzawadi mnizawadiepo..hata m pesa napokea
Happy birthday baby wangu......wakuu nipongezen basi kwa kutimiza miaka ishirini kadhaa ya kuzaliwa kwangu..na wenye tuzawadi mnizawadiepo..hata m pesa napokea
Ni mwanaume huyo
Mimi ni mtoto wakike jaman khaaa!kwani vepeeeee
ilo ni chenza... vp linaonekana alija iva eeepaka chongo hiyo avatar yako sjaielewa?
Yawezakana Mkuu....! Wapi unafikiri???Mkuu kama nshawahi kukuona mahali au nakufanisha?