Leo ni furaha baada ya kulipwa na niliyekuwa ninamdai

Leo ni furaha baada ya kulipwa na niliyekuwa ninamdai

kwenda21

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2014
Posts
3,423
Reaction score
3,414
Miaka miwili iliyopita nilitapeliwa na mtu ambaye nilimuamini sana, akakimbia sikujua anaishi wapi, wala ndugu yake hata mmoja, ila nilimwambia tutakutana tu, na kukutana ni tendo la lazima.

You cant get away its will happen, nikamwambia kwa kuwa sifahamu unapoishi, tukikutana utanilipa hapohapo, leo ngangangaaaa nikamkuta kwenye mwendo kasi.

Nikamwambia polepole sana, oya uko bomba akajibu niko sawa ndugu, nikamwambia fanya ule mpango leo, maana kuonana kwetu ngumu, akaanza kipiga simu huko na huko tulipokuwa tumeshuka.

Mara ngangaaaaaa akanilipa375000 zangu, nimefurahi sana, ukitapeliwa usisumbuke, cool down na utampata tu
 
Miaka miwili iliyopita nilitapeliwa na mtu ambaye nilimuamini sana,akakimbia sikujua anaishi wapi,wala ndugu yake hata mmoja,ila nilimwambia tutakutana tu,na kukutana ni tendo la lazima.

You cant get away its will happen,nikamwambia kwa kuwa sifahamu unapoishi,tukikutana utanilipa hapohapo,leo ngangangaaaa nikamkuta kwenye mwendo kasi.

Nikamwambia polepole sana,oya uko bomba akajibu niko sawa ndugu,nikamwambia fanya ule mpango leo,maana kuonana kwetu ngumu,akaanza kipiga simu huko na huko tulipokuwa tumeshuka.

Mara ngangaaaaaa akanilipa375000 zangu,nimefurahi sana,ukitapeliwa usisumbuke,cool down na utampata tu
🥰🥰🥰
 
Unasema hivi kwa sababu hukuwa na uhitaji sana na hiyo fedha.
Mimi niliifundisha akili yangu kuhusu pesa,pesa ukiiendekeza na kuoheshimu naapa,hutoipata na itakusumbua sana,mpaka ushangae
 
Miaka miwili iliyopita nilitapeliwa na mtu ambaye nilimuamini sana, akakimbia sikujua anaishi wapi, wala ndugu yake hata mmoja, ila nilimwambia tutakutana tu, na kukutana ni tendo la lazima.

You cant get away its will happen, nikamwambia kwa kuwa sifahamu unapoishi, tukikutana utanilipa hapohapo, leo ngangangaaaa nikamkuta kwenye mwendo kasi.

Nikamwambia polepole sana, oya uko bomba akajibu niko sawa ndugu, nikamwambia fanya ule mpango leo, maana kuonana kwetu ngumu, akaanza kipiga simu huko na huko tulipokuwa tumeshuka.

Mara ngangaaaaaa akanilipa375000 zangu, nimefurahi sana, ukitapeliwa usisumbuke, cool down na utampata tu
Chai
 
Back
Top Bottom