Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
i salute you kinsmen kwa jina la gusa achia twende kwaoL
baada ya jana wanaume kufanya kazi ya kiume na kuheshimisha nchi kwa pira gusa achia twende kwao
sasa leo tutashuhudia wale wavuta bange wa kariakoo wakikatika mauno huko uarabuni
tutegemee yafutayo.
1; gusa anguka tupate penati
2; ushindi mwembamba wa goli moja na mfungaji kuvua shati kama sio chupi kabisa
3; zitaongezwa dakika mpaka pale watakapopata goli ndipo mpira kuisha
4;kelele za "kelele za yanga wanajidunga sindano" zitarudi
4; jumba bovu kuangushiwa mvuta bange ahoua na kocha fadlu
lolote liwakute simbilisi kila la kheri
tumieni na nyieLakini broo kwani uongo hamtumiii sindano?
hakika pira jipya linavutia sanaDuh et gusa anguka tupate penat
Pamoja na ubovu wa sfaxien hao jamaa awatopata ata ilo goli la penalty,,na refarii Leo atokuwa upande wao kama wanavyotakaga,,ata wapange mabeki 6 kama walivyozoea bado watakuwa na hali ngumu,,pipa na mfuniko wanakutana wote!i salute you kinsmen kwa jina la gusa achia twende kwaoL
baada ya jana wanaume kufanya kazi ya kiume na kuheshimisha nchi kwa pira gusa achia twende kwao
sasa leo tutashuhudia wale wavuta bange wa kariakoo wakikatika mauno huko uarabuni
tutegemee yafutayo.
1; gusa anguka tupate penati
2; ushindi mwembamba wa goli moja na mfungaji kuvua shati kama sio chupi kabisa
3; zitaongezwa dakika mpaka pale watakapopata goli ndipo mpira kuisha
4;kelele za "kelele za yanga wanajidunga sindano" zitarudi
4; jumba bovu kuangushiwa mvuta bange ahoua na kocha fadlu
lolote liwakute simbilisi kila la kheri
wote vibonde hiyo team kila mwaka ipo shirikisho tuPamoja na ubovu wa sfaxien hao jamaa awatopata ata ilo goli la penalty,,na refarii Leo atokuwa upande wao kama wanavyotakaga,,ata wapange mabeki 6 kama walivyozoea bado watakuwa na hali ngumu,,pipa na mfuniko wanakutana wote!
ninachoweza kusemai salute you kinsmen kwa jina la gusa achia twende kwaoL
baada ya jana wanaume kufanya kazi ya kiume na kuheshimisha nchi kwa pira gusa achia twende kwao
sasa leo tutashuhudia wale wavuta bange wa kariakoo wakikatika mauno huko uarabuni
tutegemee yafutayo.
1; gusa anguka tupate penati
2; ushindi mwembamba wa goli moja na mfungaji kuvua shati kama sio chupi kabisa
3; zitaongezwa dakika mpaka pale watakapopata goli ndipo mpira kuisha
4;kelele za "kelele za yanga wanajidunga sindano" zitarudi
4; jumba bovu kuangushiwa mvuta bange ahoua na kocha fadlu
lolote liwakute simbilisi kila la kheri
zile tano tulizokupumulia haukuumia kweli?Tulia kikuingie baadae,.
halafu baada yapo ni mpigaji panenka kuvua shatiGusa anguka tupate penenka 😂
Penati pia ni goal ndomna ikawekwa.. kaeni kwa kutulia dawa iwaingiei salute you kinsmen kwa jina la gusa achia twende kwaoL
baada ya jana wanaume kufanya kazi ya kiume na kuheshimisha nchi kwa pira gusa achia twende kwao
sasa leo tutashuhudia wale wavuta bange wa kariakoo wakikatika mauno huko uarabuni
tutegemee yafutayo.
1; gusa anguka tupate penati
2; ushindi mwembamba wa goli moja na mfungaji kuvua shati kama sio chupi kabisa
3; zitaongezwa dakika mpaka pale watakapopata goli ndipo mpira kuisha
4;kelele za "kelele za yanga wanajidunga sindano" zitarudi
4; jumba bovu kuangushiwa mvuta bange ahoua na kocha fadlu
lolote liwakute simbilisi kila la kheri
Zile mlifanya Shoping kwa Manura Au😅zile tano tulizokupumulia haukuumia kweli?
okninachoweza kusema
lile kundi hamtoboi
hamna shukraniZile mlifanya Shoping kwa Manura Au😅
tano zile kumbe ziliwaingia eehPenati pia ni goal ndomna ikawekwa.. kaeni kwa kutulia dawa iwaingie
tuseme hatutapata penati.ok
ila gusa dondoka tupate penati mtapata penati