Leo ni gusa anguka, tupate penati, tutegemee lolote

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
I salute you, kinsmen, kwa jina la “Gusa Achia Twende Kwao.

Baada ya jana wanaume kufanya kazi ya kiume na kuheshimisha nchi kwa pira “Gusa Achia Twende Kwao,” sasa leo tutashuhudia wale wavuta bange wa Kariakoo wakikatika mauno huko Uarabuni.

Tegemea yafuatayo:

1. Gusa, anguka, tupate penalti.
2. Ushindi mwembamba wa goli moja, mfungaji kuvua shati, kama si chupi kabisa.
3. Zitaongezwa dakika mpaka watakapopata goli, ndipo mpira utamalizika.
4. Kelele za "Yanga wanajidunga sindano" zitarudi.
5. Jumba bovu kuangushiwa mvuta bange, ahoua, na kocha Fadlu.

Lolote liwakute Simbilisi. Kila la kheri!
 
 
Pamoja na ubovu wa sfaxien hao jamaa awatopata ata ilo goli la penalty,,na refarii Leo atokuwa upande wao kama wanavyotakaga,,ata wapange mabeki 6 kama walivyozoea bado watakuwa na hali ngumu,,pipa na mfuniko wanakutana wote!
 
Pamoja na ubovu wa sfaxien hao jamaa awatopata ata ilo goli la penalty,,na refarii Leo atokuwa upande wao kama wanavyotakaga,,ata wapange mabeki 6 kama walivyozoea bado watakuwa na hali ngumu,,pipa na mfuniko wanakutana wote!
wote vibonde hiyo team kila mwaka ipo shirikisho tu
 
ninachoweza kusema
lile kundi hamtoboi
 
Penati pia ni goal ndomna ikawekwa.. kaeni kwa kutulia dawa iwaingie
 
Zile mlifanya Shoping kwa Manura Au😅
hamna shukrani
majuzi tukawaonea huruma tukawaingilia kidogo kwa bao moja la mkwezi ili msichubuke sana ila mkajipa eti hatujawagonga matobo yote mawili

sasa tutakutana tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…