Leo ni: HESHIMA JUU kwa WANAWAKE!


Toka niingie humu ndani hii.....KOFIA NIMEONDOA
Mkuu kumbe huwa una hekima samtaimu..LOL
 
Toka niingie humu ndani hii.....KOFIA NIMEONDOA
Mkuu kumbe huwa una hekima samtaimu..LOL

Ebo! Kumbe nilikuwa naonekana chizi kumbe?
Hahahahaha!
Hiyo kofia naidediketi kwa wanawake wote wanaonyonyesha!
 
hebu tujikumbushe kidogo........................

pia tukumbuke na response ya hiii thread:


hongereni WAKINA-MAMA wa jamiiforums.tuko pamoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…