Leo ni: HESHIMA JUU kwa WANAWAKE!


Huyo mwanamke ana moyo, mie nikimfumania ndio kwa heri hakuna mjadala wala nini.
 
U said it MKUU, BRAVO!!!!!!!!

Mkuu hebu imagine yale maserengeti navoyamiminaga kwa mbwembwe lakini nikirudi home napokelewa kwa furaha hata kama ni sita usiku! Thanks very much my wife MAMA MATESHA! I LOVE YOU!
 
mkuu hebu imagine yale maserengeti navoyamiminaga kwa mbwembwe lakini nikirudi home napokelewa kwa furaha hata kama ni sita usiku! thanks very much my wife mama matesha! I love you!
......:d:d
shameesshaa m'maai
 
Huyo mwanamke ana moyo, mie nikimfumania ndio kwa heri hakuna mjadala wala nini.

Najua uamuzi utakaouchukua si sahihi na wala hautajenga. Si uamuzi sahihi kwa mwanamke jasiri na mwelewa! Mna watoto lets say watano, utasema bye na watoto waparanganyike? Lakini hilo halijanitoa kwenye kukupa heshima yako! I salute you Pretty! Be a good girl!
 
Leo mpwa xpin umeota nini? ni kweli leo uko kimaadili zaidi
Thanks man.
 
ISINGEKUWA MAMA YANGU MZAZI,huenda leo ujasiri niliokuwa nao ingekuwa hadithi

she has always been there FOR ME

OOH!
LOVE YA MOM

ahsanteni sana wanawake
TUPO PAMOJA FOR LIFE
 
Mkuu hebu imagine yale maserengeti navoyamiminaga kwa mbwembwe lakini nikirudi home napokelewa kwa furaha hata kama ni sita usiku! Thanks very much my wife MAMA MATESHA! I LOVE YOU!

Na sisi tunaangaika sana Cousin, au unasemaje?
 


yote hayo tunawafanyia lakini matusi mnayoyatoa midomoni kwenu inanihuzunisha sana
 
Taratibu, ntakupunguzia heshima!

Binamu niongezee heshima zaidi lakini mie nimfumanie nianze kulia weeeeeeeee ooh mama yangu mume wangu ndo nini hiki ,kwani mie nimekosa nini ,nina mapungufu gani ,,,,aaaah watoto !!!! sijui nn
inauma sana Binamu lakini baada ya tukio ndo naanza kumake disisheni ....
 
yote hayo tunawafanyia lakini matusi mnayoyatoa midomoni kwenu inanihuzunisha sana
TUMEKOMA MAMA!
tusamehe bure
kukosea ni ubinadamu tu!

WE LOVE YOU WOMEN!.....
 
Mkuu hebu imagine yale maserengeti navoyamiminaga kwa mbwembwe lakini nikirudi home napokelewa kwa furaha hata kama ni sita usiku! Thanks very much my wife MAMA MATESHA! I LOVE YOU!
ha ha ahaaaaaaa. congrats mama matesha.
 
......Afanye vyote lakini hilo la kumfumania live na mwanamke mwingine noooooooo!!! Dunia yenyewe ya leo magonjwa nje nje ni big nooooooooo!!!!
hahahaaaa, NINI KUFUMANIA wewe??
unaletewa mtoto wa nje ya ndoa na UNASAMEHE!.
love to all women out there.
 
Leo mpwa xpin umeota nini? ni kweli leo uko kimaadili zaidi
Thanks man.
Tena wewe ndo usiseme kwa jinsi navokuheshimu! Hubby wako alioa malaika! Please endelea kuwa mke na mwanamke bora!
 


kama ilivyokwa rangi nyekundu hapo juu kwa upande wangu huwa afanyi nafanya mwenye,chakula cha usiku anagoma mpaka atakapo taka.
 
hahahaaaa, NINI KUFUMANIA wewe??
unaletewa mtoto wa nje ya ndoa na UNASAMEHE!.
love to all women out there.
YAAAH MAAN!
MSHIKI ALINIKUBALI NA BINTI YANGU sote kwa pamoja!....
love to all women
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…