......Afanye vyote lakini hilo la kumfumania live na mwanamke mwingine noooooooo!!! Dunia yenyewe ya leo magonjwa nje nje ni big nooooooooo!!!!
deh deh deh! kaka krispini walikutoa mbio gesti nini usiku wa jana?
beki to ze topik: i love mai waifu kuliko US dollar
what is your source?
lakini mara nyingi kwa jinsi tunavyowapenda mai waifu wetu, wakati wa kudumisha mila lazima tutumie kinga, WORRY OUT!.
Heshima kwako Pretty,
Unatakiwa kwenda kupima mara moja halafu unahama chumba miezi mitatu unapima tena ukikuta mambo safi unarejesha uhusiano.
UKIWA UNAUMWA,it is a woman who will feel sorry for you and keep you closer siku zote
nakumbuka niliwahi mwagika na tukutuku mshiki alikuwa ananitengenezea mtori ambao sijawahi kuuona dar es salaam nzima
HEHEHEHEHEHE!
dawa ya maralia huyooooooooooooooooo
MKEO KAJIFUNGUA SALAMA?
ila leo hatutaki offtopik
nimewakubali mazee. hawa kina maza lazima wapewe heshima yao. nitawaPM wengi leo ili kuienzi hii siku tukufu katika jukwaa hili.Hapana plasmodiam killa, ni jana kuna mdumisha mila mmoja alifumaniwa ukatokea mtiti wa kufa mtu! Lakini wakuu tukasovu mambo na usiku jamaa kanambia mtarimbo uliwekwa sehemu yake kama kawa! Ingekuwa njemba ndio imefumaniwa ile ndoa saizi ingekuwa imesharesti in Piis!
nimesoma kwa shida sana kuanzia form one,
miaka ile ada ikiwa ni laki tatu kwa mwaka ni kubwa sana.....
lakini MAMA alihakikisha anakopa hela ili mradi niende shule
AHSANTE SANA MAMA!
WANAWAKE HOYEEEE
Heshima kwako Pretty,
Unatakiwa kwenda kupima mara moja halafu unahama chumba miezi mitatu unapima tena ukikuta mambo safi unarejesha uhusiano.
nilipotea na nitapotea tena, 2010 niko kistarehe zaidi.(sore ofu topik)safi sana klorokwin
ulikuwa wapi?
nimewakubali mazee. hawa kina maza lazima wapewe heshima yao. nitawaPM wengi leo ili kuienzi hii siku tukufu katika jukwaa hili.
hakuna ofu topik leo. bahati mbaya sina mda mrefu nitatoka. aaaargh!
nimesoma kwa shida sana kuanzia form one,
miaka ile ada ikiwa ni laki tatu kwa mwaka ni kubwa sana.....
lakini MAMA alihakikisha anakopa hela ili mradi niende shule
AHSANTE SANA MAMA!
WANAWAKE HOYEEEE
deh deh deh!Leo uko cafe gani? Hahaha! Ntaongezea fee bana! Leo mtu akienda ofutopic nimeshaongea na invizibo, anakula ban la kufa mtu!
nimesoma kwa shida sana kuanzia form one,
miaka ile ada ikiwa ni laki tatu kwa mwaka ni kubwa sana.....
lakini MAMA alihakikisha anakopa hela ili mradi niende shule
AHSANTE SANA MAMA!
WANAWAKE HOYEEEE
Kuna tukio nililiona jana:
Acheni niwape heshima iliyotukuka wanawake woote;
IMAGINE:
ANAKUFUMANIA: Analia, ananyamaza, anasononeka, unambembeleza anakuelewa anakusamehe halafu anasahau!!!
UNAZAA NJE YA NDOA: Anasononeka na kulia sana. Anakuchukia lakini baadaye anakusamehe. Halafu analea mtoto uliyemzaa nje kwa upendo. Kama ni kuchukiwa atachukiwa mtoto, si wewe uliyefanya umalaya!
UNARUDI USIKU WA MANANE UKIWA MTUNGI: Anakukaribisha, anakuandalia chakula, unagoma kula. Anahifadhi chakula alichokuandalia bila manung'uniko.
UNAAMKA ASUBUHI NA MAHANGOVER: Anakuandalia staftahi (saa nyingine unagoma kutumia staftahi yake unakimbilia baa kwenda kunywa Supu na kuzimua. Wala halalamiki!
CHAKULA CHA USIKU: Ushapiga mtungi wako, mtarimbo umesimama, unataka huduma. Unamrukia, hamna maandalizi unamuumiza (Wengine wana mamitarimbo ya kufa mtu, sasa imagine hujamuandaa: LOL) Anavumilia ili akuridhishe. Na kesho yake tena inaweza tokea hii; hana kinyongo!
UNAJIANDAA KWENDA KIBARUANI: Unakuta kashakuandalia viwalo, suruwale imenyooshwa kama ya askari trafiki, shati limepigwa pasi ya maana! Nguo ulizovua jana zimeshalowekwa tayari kwa kufanyiwa usafi! Ulichomuudhi jana kashasahau na kukusamehe!
UNAMPA UJAUZITO: Anauthamini, anautunza anajifungua kwa uchungu, mtoto anakuachia wewe umpe jina, la kwake halimo kabisa kwenye majina atakayotumia mtoto! Na pamoja na uchungu wa kuzaa, bado yuko radhi kukuzalia mtoto mwingine na mwingine tena!
Na mengine meeeeengi sana wanafanyiwa hawa watu lakini WANASAMEHE, WANAVUMILIA! Ni watu muhimu sana hawa watu maishani mwangu!
HIVI INGEKEWA WANAUME TUNAFANYIWA HIVI INGEKUWAJE?
Kwa leo acheni tu niwape heshima zao wanawake wote:
I SALUTE AND LOVE THEM WOMEN!
(NB: Leo niko kimaadili zaidi!)