Leo ni: HESHIMA JUU kwa WANAWAKE!

......Afanye vyote lakini hilo la kumfumania live na mwanamke mwingine noooooooo!!! Dunia yenyewe ya leo magonjwa nje nje ni big nooooooooo!!!!

Heshima kwako Pretty,

Unatakiwa kwenda kupima mara moja halafu unahama chumba miezi mitatu unapima tena ukikuta mambo safi unarejesha uhusiano.
 
what is your source?


Heshima kwako Pretty,

Unatakiwa kwenda kupima mara moja halafu unahama chumba miezi mitatu unapima tena ukikuta mambo safi unarejesha uhusiano.
lakini mara nyingi kwa jinsi tunavyowapenda mai waifu wetu, wakati wa kudumisha mila lazima tutumie kinga, WORRY OUT!.
 
nimesoma kwa shida sana kuanzia form one,
miaka ile ada ikiwa ni laki tatu kwa mwaka ni kubwa sana.....

lakini MAMA alihakikisha anakopa hela ili mradi niende shule

AHSANTE SANA MAMA!

WANAWAKE HOYEEEE
 
UKIWA UNAUMWA,it is a woman who will feel sorry for you and keep you closer siku zote

nakumbuka niliwahi mwagika na tukutuku mshiki alikuwa ananitengenezea mtori ambao sijawahi kuuona dar es salaam nzima

Leo tafadhali umkamatie Reds mbili kwa heshima yangu! Afu ntakudishia!
 
HEHEHEHEHEHE!
dawa ya maralia huyooooooooooooooooo

MKEO KAJIFUNGUA SALAMA?
ila leo hatutaki offtopik

nimewakubali mazee. hawa kina maza lazima wapewe heshima yao. nitawaPM wengi leo ili kuienzi hii siku tukufu katika jukwaa hili.
hakuna ofu topik leo. bahati mbaya sina mda mrefu nitatoka. aaaargh!
 
nimesoma kwa shida sana kuanzia form one,
miaka ile ada ikiwa ni laki tatu kwa mwaka ni kubwa sana.....

lakini MAMA alihakikisha anakopa hela ili mradi niende shule

AHSANTE SANA MAMA!

WANAWAKE HOYEEEE

Hahaha! Ingekuwa dingi ungehamishiwa zile shule za nini tena wanaziita? Zile unafanya kama praiveti kandideti? Ada buku 20 tu!
 
Heshima kwako Pretty,

Unatakiwa kwenda kupima mara moja halafu unahama chumba miezi mitatu unapima tena ukikuta mambo safi unarejesha uhusiano.

utarejesha tena utaamini vip kama ameacha mambo yake hayo?
unarudia kifo!!!
 
Chrispin is praying for his enemies







naona leo kweli uko kimaadili.
 
nimewakubali mazee. hawa kina maza lazima wapewe heshima yao. nitawaPM wengi leo ili kuienzi hii siku tukufu katika jukwaa hili.
hakuna ofu topik leo. bahati mbaya sina mda mrefu nitatoka. aaaargh!

Leo uko cafe gani? Hahaha! Ntaongezea fee bana! Leo mtu akienda ofutopic nimeshaongea na invizibo, anakula ban la kufa mtu!
 
nimesoma kwa shida sana kuanzia form one,
miaka ile ada ikiwa ni laki tatu kwa mwaka ni kubwa sana.....

lakini MAMA alihakikisha anakopa hela ili mradi niende shule

AHSANTE SANA MAMA!

WANAWAKE HOYEEEE

Geoff imenigusa hii jamani Nani kama Mama
 
Leo uko cafe gani? Hahaha! Ntaongezea fee bana! Leo mtu akienda ofutopic nimeshaongea na invizibo, anakula ban la kufa mtu!
deh deh deh!

The Following 16 Users Say Thank You to Chrispin For This Useful Post: bht (Today), Bujibuji (Today), carmel (Today), FirstLady1
(Today), Geoff (Today), George_Porjie (Today), JS (Today), Lily Flower (Today), MjasiriamaliShupavu (Today), Ngongo (Today), Nguli (Today), Preta (Today), Pretty (Today), SMU (Today), Soulbrother (Today), Sumbalawinyo (Today)

acha nikakuongezee moja, hii ni kampeni maalum tukuweke kwenye topu renki kule kwa wenye masenksi mengi.
 
nimesoma kwa shida sana kuanzia form one,
miaka ile ada ikiwa ni laki tatu kwa mwaka ni kubwa sana.....

lakini MAMA alihakikisha anakopa hela ili mradi niende shule

AHSANTE SANA MAMA!

WANAWAKE HOYEEEE

........Mama kweli anastahili sifa, mie mwenyewe nampenda mama yangu kuliko. Kuwa mama raha jamani, utapendwa na watoto wako daima. Natamani kuwa mama, hebu ngoja nijitahidi nipate mtoto niitwe mama.
Hongereni wanawake wenzangu wa JF mliokuwa tayari mama.
xoxoxo
 
DUh!! leo sijui kaamkia upande upi??? mmmmm haya we!! lakini pia ujue kwa sababu ya hayo yoote uliyoyataja ya kusamehe and kuvumilia...iko siku ufika ikatosha!!! and when we get fed up...u dont want to be anywehre near
 

malaika aliyekushukia jana akae na wewe daima na milele!!
 
Chrispin kama kungekuwa na namna ya kugonga thanx mara nyingi leo nisingeongea ni thanx tu............mpwa kumbe ukitulia unamwaga vyoint eh? Aksante sana

Ana heri mwanamke uliyemuoa
Ana heri dada yako
Ana heri mama yako
Tuna heri wanawake woooote tuliobarikiwa kuwa karibu yako (hata ki -electronika)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…