Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,559
- 19,101
Leo tarehe 06 October 2021 ndio siku ya kusomwa hukumu ya kesi inayowakabili aliyekua Rais wa klabu ya Simba Evans Aveva na wenzake.
Katika kesi hiyo washtakiwa wanadaiwa kula njama, matumizi mabaya ya ofisi, kughushi na kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu pesa za mauzo ya Emmanuel Okwi.
Mshtakiwa mwingine, Hanspope alifariki hivi karibuni
Wanamichezo hasa soka bila kujali itikadi za Usimba na Uyanga tuungane kuwaombea ili waweze kupata nafuu ya hukumu na ikiwezekana wasikutwe na hatia na waachiwe huru
Michezo ni furaha, michezo ni amani, michezo ni afya japo kua siku hizi ni biashara.
Katika kesi hiyo washtakiwa wanadaiwa kula njama, matumizi mabaya ya ofisi, kughushi na kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu pesa za mauzo ya Emmanuel Okwi.
Mshtakiwa mwingine, Hanspope alifariki hivi karibuni
Wanamichezo hasa soka bila kujali itikadi za Usimba na Uyanga tuungane kuwaombea ili waweze kupata nafuu ya hukumu na ikiwezekana wasikutwe na hatia na waachiwe huru
Michezo ni furaha, michezo ni amani, michezo ni afya japo kua siku hizi ni biashara.