Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ni vema ukafanya hivyo ili usije kuvikuta jalalani Jumatatu baada ya mabadiliko madogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamia BurundiNi vema ukafanya hivyo ili usije kuvikuta jalalani Jumatatu baada ya mabadiliko madogo
View attachment 3053040
😆😆😆Hamia Burundi
Tunakumbushana tuHahahaaa
Domo letu tunalipiga jukwaani kwani hutuoni?chadema endeleni kupiga domo uchaguzi mkiambulia kura asilimia 3 msishangae
🤣🤣🤣🤣Tena?!chadema endeleni kupiga domo uchaguzi mkiambulia kura asilimia 3 msishangae
2025 'Tulishinda uchaguzi ila wametuibia kura' 😂chadema endeleni kupiga domo uchaguzi mkiambulia kura asilimia 3 msishangae
ndio zao hao🤣🤣🤣🤣Tena?!
ndio sera zao kila awamu2025 'Tulishinda uchaguzi ila wametuibia kura' 😂
kambi kuu ya upinzani kwa sasa ni kama inapumulia mashine chezwa na machale nduguDomo letu tunalipiga jukwaani kwani hutuoni?
Uchaguzi huu huu ambao Nepi alisema inategemea na anayehesabu kura??chadema endeleni kupiga domo uchaguzi mkiambulia kura asilimia 3 msishangae
Ajiulize kwanini Nape alitangaza wiziUchaguzi huu huu ambao Nepi alisema inategemea na anayehesabu kura??
ni utani ambao tumeishi nao kwa miaka tisaAjiulize kwanini Nape alitangaza wizi
Kura zetu huwa mnaziiba halafu mnatubu. Nape ametuambiwa wazi mbinu zenuchadema endeleni kupiga domo uchaguzi mkiambulia kura asilimia 3 msishangae