Leo ni kumbukumbu ya Justine Kalikawe ,je ni unamkumbuka kwa lipi zuri?

....classmate muhimbili primary school, a friend and a neighbour Upanga.

Miaka mingi imepita, kumbukumbu zimebaki sie tukiwa kijiweni Boy Scout, twamsikiza Justin Don Bosco akifanya Rehearsals.

Rest in Peace bro.
alikuwa na mke mzungu kachokaje? tulikuwa tunagombania nae kuokota senene bukoba kule
 
nimeishi nae kijiji kimoja kitendaguro bukoba
 
ndio best si unajua tena wahaya na mambo ya uk....ila sijui alikuwa wa bulgaria maana ...mungu nisamehe....miguu imepasukaje siunajua tena vumbi la kitendaguro?

hahaaa umenichekeshaje,vumbi la kitendaguro lol!!!!!!!
 
ndio best si unajua tena wahaya na mambo ya uk....ila sijui alikuwa wa bulgaria maana ...mungu nisamehe....miguu imepasukaje siunajua tena vumbi la kitendaguro?
na wewe kumbe ni kule kwenye senene....matoke...mix bunyebwa...feat water doh!!ndo maana nakufeel kumbe jamani chozi smile
 
na wewe kumbe ni kule kwenye senene....matoke...mix bunyebwa...feat water doh!!ndo maana nakufeel kumbe jamani chozi smile
sio kila mzungu umuonae mjini ni padre ujue
 
sijui yule mke wake mzungu wahaya washamuacha?
mke wake hakuwa mzungu alikuwa ni mbongo tu tena mhaya alimtorosha na kumuachisha masomo shule moja ya wasichana iko Bukoba inaitwa Rugambwa akiwa bado mwanafunzi wa kidato cha pili kama sio cha tatu akamuoa. Dada huyu ni mzuri kweli kweli, alipofariki kuna mheshimiwa fulani aliyewahi kuwa waziri katika wizara flani nyeti aliyejiuzuru kwa kashifa fulani fulani ndiye akajimilikisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…