Leo ni kumbukumbu ya siku yangu ya kuzaliwa

Sicolate

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2018
Posts
243
Reaction score
342
Nashukuru kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu kwa kunifanya niwe mwenye bahati na kuendelea kuishi mpaka leo!Katika mapambano ya kujikwamua kiuchumi ninaomba aendelee kunipa nguvu ili nitimize ndoto zangu,nisaidie wasiojiweza!
Kheri ya Kuzaliwa na wengine wote mliozaliwa siku tarehe ya leo!!


KISSES
 
Kisses
 
Happy Birthday...
Nakupa zawadi ya Ukuu hapa JF kama zawadi yako ya siku yako ya kuzaliwa.

Kuazia leo utaanza kuitwa mkuu Sicolate
 
waliozaliwa siku kama ya leo wote wamekufa (typing error).
hongera kwa kuzaliwa binadamu huku bongo
 
Happy birthday, mungu akujaalie afya, furaha na amani. Uzidi kua mrembo zaidi ya hivyo ulivyo kwenye AVATAR yako.[emoji53] [emoji57] [emoji18]
 
Heri ya siku ya kuzaliwa mrembo, December ni mwezi mzuri wa kufurahia maisha, enjoy your day, live the life and have fun.

Regards,

Bibi Kasinde.
Walah bi mdashi utakua Mnyamwezi ##kabila##
 
happy birthday
 

Uje kuchukua zawadi
 
Happy birthday to you[emoji8]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…