Leo ni Leo

Leo ni Leo

Saikosisi

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2007
Posts
528
Reaction score
34
Je, ndoto ya Manchester United kuchukua makombe manne (4) mwaka huu kuanza kutimia leo?

Tuwe sote, bado masaa machache..

Kila la kheir Mashetani Wekundu.
 
Ichape kwenye Manure special thread
 
naombeni link tafadhali ya live footie
 
namber 7 mgongoni wa manchester utd uchezaji wake unafanana fanana na wa Mrisho Ngassa.......
 
half time bila bila kwani game si yaanza masaa ma 3 from nw?au ndo mambo ya kamati ya ufundi?
 
Refa ngesem kabisa, oshea ilikuwa yellow kisha red kamuacha, kamuonea ronaldo!
 
Dakika ya 71 bado bila bila. MANU wanaonyesha wameanza kuwa na wasiwasi. Tottenham wanatoa ushindani ambao sikuutegemea nilidhani MANU watavuna kapu la magoli.
 
loh ama kweli watu wengine tuko mwisho wa dunia...wamawane mzidi tuhabarisha kuhusu matokeo
 
match


Angalia results dakika almost mwisho bado bila bila
 

Attachments

  • MANvs TH.png
    MANvs TH.png
    1.9 KB · Views: 46
half time bila bila kwani game si yaanza masaa ma 3 from nw?au ndo mambo ya kamati ya ufundi?
We are heading for extra time! But it was sooo sooooo close, tena in the last minute.
 
Dakika 90 zimekwisha wameongezewa dakika 30 na kama hakupatikana mshindi basi itakuwa ni maguu 12 ya mtu mzima mwenye akili timamu. Sasa hivi ni dakika ya ya nne kati ya 30 za nyongeza.
 
dakika 15 za kwanza zimekwisha wameanza 15 za mwisho
 
Dakika 120 zimekatika bado ni bila bila, sasa ni penalty. Naamini MANU watashinda maana wana wapigaji wazuri wa penalty ukilinganisha na Tottenham.
 
ndio umeisha sasa....naona tunaelekea kwenye matuta....
 
Dakika 120 zimekatika bado ni bila bila, sasa ni penalty. Naamini MANU watashinda maana wana wapigaji wazuri wa penalty ukilinganisha na Tottenham.

Ishu ni nani akaaye langoni...kipa yupi zaidi kati ya hao wawili?
 
Back
Top Bottom