Kwa kweli sijielewi kabisa ,tangu kuanza mwaka huu 2011 leo ni miezi 5 net.Sijanunua chochote cha maana wala kufanya lolote la maana mbali na kunywa,kula,kuvaa licha ya kupata mshahara ambao nikilinganisha na wenzangu naona wangu ni mnono.
Nimerogwa?,ni ujinga? nimekuwaje mimi ?
Kwa kweli leo nimewaza sana.
Msaada unahitajika hapa
Kwa kweli sijielewi kabisa ,tangu kuanza mwaka huu 2011 leo ni miezi 5 net.Sijanunua chochote cha maana wala kufanya lolote la maana mbali na kunywa,kula,kuvaa licha ya kupata mshahara ambao nikilinganisha na wenzangu naona wangu ni mnono.
Nimerogwa?,ni ujinga? nimekuwaje mimi ?
Kwa kweli leo nimewaza sana.
Msaada unahitajika hapa
Kwa kweli sijielewi kabisa ,tangu kuanza mwaka huu 2011 leo ni miezi 5 net.Sijanunua chochote cha maana wala kufanya lolote la maana mbali na kunywa,kula,kuvaa licha ya kupata mshahara ambao nikilinganisha na wenzangu naona wangu ni mnono.
Nimerogwa?,ni ujinga? nimekuwaje mimi ?
Kwa kweli leo nimewaza sana.
Msaada unahitajika hapa
Pole sana, ukiniambia hujafanya lolote unamanisha kwamba hela yako inakaa kwenye akaunti unahitaji msaada wa jinsi gani uitumie. Wewe una interest kwenye mambo gani? Ki ukweli DSM siyo mji wa kutegemea mishara tu. Ebu jaribu kuangalia ni kitu gani unaweza kukifanya kwa usimamizi wako kikaenda vizuri.
Othewise anza maombi ya haraka ili Mungu akunusuru na huo uvamizi wa umaskini uliokuingia.
Kwa kweli sijielewi kabisa ,tangu kuanza mwaka huu 2011 leo ni miezi 5 net.Sijanunua chochote cha maana wala kufanya lolote la maana mbali na kunywa,kula,kuvaa licha ya kupata mshahara ambao nikilinganisha na wenzangu naona wangu ni mnono.
Nimerogwa?,ni ujinga? nimekuwaje mimi ?
Kwa kweli leo nimewaza sana.
Msaada unahitajika hapa
Bosi, you only need DISCIPLINE ya mambo yako....kama uliweka malengo ya kununua kabati (for eg) hakikisha nidhamu inazingatiwa unanunua kabati. Maanisha....hili linawakumba wengi sana. watu hawamaanishi katika plan zao. Halafu hakuna hela ndogo...hata kama ni sh 50 ni hela kubwa usiitumie ovyo ukisema ni 50 tu kama wengi wanavyofanya. nina marafiki zangu wengi wana maduka ya chumvi na nyanya....i mean tag shops...unajua kilo moja ya sukari ni sh ngapi ni kama sh30-40 hivi so mpaka auze mfuko kilo 50 ndo anafunga buku na nusu ama buku mbili...hao jamaa wakikupeleka kwao hutaamini kama ndo biashara wanazofanya. So nidhamu ya hela na mipango ni muhimu.