Leo ni miaka 21 tangu majengo pacha nchini Marekani kushambuliwa na ndege - kwanini haizungumzwi?

Leo ni miaka 21 tangu majengo pacha nchini Marekani kushambuliwa na ndege - kwanini haizungumzwi?

Msishangae

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
363
Reaction score
267
Wana JF,

Hadi muda huu sijasikia kama leo kuna kumbukumbu ya miaka 21 tangu majengo pacha kushambuliwa na ndege kulikoni au mambo ya urusi na Ukraine yamefunika kila kitu.
 
Huwezi kuendelea kukumbuka matukio yote duniani forever! Inafika mahali faili linafungwa then we look forward.
 
Back
Top Bottom