Leo ni miaka 6 ya kumbukumbu cha kifo cha Patrick Mafisango

Leo ni miaka 6 ya kumbukumbu cha kifo cha Patrick Mafisango

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Siku kama ya leo, miaka 6 iliyopita maeneo ya taa za chang'ombe, kiungo fundi mnyarwanda, Patrick Mutesa Mafisango alifariki Dunia, baada ya kutokea ajali ya gari.

Wapenzi wa soka, unakumbuka jambo gani toka kwa fundi huyu? Tumtakie kila la heri huko aliko. Ameen!
 
Mbumbumbu fc walikula rambirambi za msiba wa huyu jamaa.
 
Alikuwa noma ..okwi..sunzu boban na mutesa mafisango nawakumbuka sana
 
Back
Top Bottom