Hahahaha hiyo ingine bana acha nlitaka ni ku PM, kumbe umeoa bana. Nway msalimu huyo mother house.
Good for both of u
hope ur night was ******* pole kwa uchovu lol:whoo::whoo::whoo:msisahau kukandana viuno:whoo::whoo::whoo:
Heee jamani, kwani kum-PM mtu kunagomba bandugu? Ubaya wake ni nini? Kwa kuwa nimeoa ndo si ruhusa kuni-PM? Unless kama sijakuelewa.
Habari ya Maria Roza, aisee nlienda Arusha nikajitambulisha mi Maria Roza wakuu wakabisha hadi mwisho. Ila kiboko ilikuwa FL kujiita da sophy, PJ kadondoka chini gafla.
Hujanielewa, jaribu kunielewa basi
Nieleweshe LOL . . . akili yangu labda iko slow kuelewa . . . LOL
Hahha haha kaelewa anazuga tu huyu si ndo maana yupo online:whoo::whoo::whoo::whoo:
Hapo juu, LD na MR rudini kwenye sredi...halafu wote kwa pigo happy new year 2011
Baada ya hayo sasa nimpongeze mkuu Superman kwa siku ya leo, amesema Mzee Mwanakijiji kwamba ni BirthMarryNew...LOL!!!!!
Leo naona itakuwa kula bata tu kwa superman
Halafu MR Mbona mwaliko wako haufiki tu?:redfaces:
Hapo juu, LD na MR rudini kwenye sredi...halafu wote kwa pigo happy new year 2011
Baada ya hayo sasa nimpongeze mkuu Superman kwa siku ya leo, amesema Mzee Mwanakijiji kwamba ni BirthMarryNew...LOL!!!!!
Leo naona itakuwa kula bata tu kwa superman
Halafu MR Mbona mwaliko wako haufiki tu?:redfaces:
Happy new year too brother,'amba kindo msasha' Nimerudi kwene sred kaka manake huyu jamaa anarefusha mjadala tu hapa.
Watu Kaizerrrrrr mhh nahisi kuna uchakachuaji hapo kati si bure!!
happy new year
karibu Ulanzi:whoo::whoo:
haha kuna mtu amekuwa labda slow learner, sasa mpeleke taratibu mshiki....>! LOL leo mbege wapi sasa?
Njoo tunywe mbege....of course ulanzi unahusu sana...wa wapi huo, gangilonga ama wa mafinga?:hungry::whoo:
Yesuuuuu mbege naogopa kitambi mie haha haha ulanzi wa Ilembula:hungry::hungry: karibuuuuuuuu:hungry::hungry:
Nilisahau naomba iyo beer mwaya
Naona tutaipitia kwa baba Sunday mi na Teamo afu tutaibeba kwene kidumu mpaka jj kaka.