Leo ni siku tukufu kabisa ya Ijumaa, na hii ni mojawapo ya miongoni mwa salaam bora kabisa za siku hii

Leo ni siku tukufu kabisa ya Ijumaa, na hii ni mojawapo ya miongoni mwa salaam bora kabisa za siku hii

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wadau hamjamboni nyote?

Wapendwa asubuhi hii nawaletea mojawapo ya salaam Bora za siku ya leo ya ijumaa tukufu:

"Jumma hii iliyobarikiwa na ikuletee amani, furaha, na baraka nyingi maishani Mwako"

Wenye elimu mtuletee salaam nyingine zilizo bora kwa siku hii takatifu

Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi kwenye njia zenu

Sote tijitahidi kwenda kwenye Swalla ya Ijumaa
 
Nawasalimu kwa jina la jamhuri.

kazi iendeleeeeeeeeeeee
 
Back
Top Bottom