Leo ni Siku ya Kimataifa ya Bia. Hongereni Wanywaji kwa kukuza Uchumi

Leo ni Siku ya Kimataifa ya Bia. Hongereni Wanywaji kwa kukuza Uchumi

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Kwa kutambua juhudi za walevi kwenye uchumi, 2/8 ni siku ya Bia Duniani.

Natoa salute Kwa walevi wote Kwa juhudi zao za kukuza Uchumi Kupitia unuwaji bia ambapo Kwa Tanzania Mapato kutokana na Pombe hufimia karibu Trilioni 1 huku sekta hiyo ikitoa Ajira Kwa maelfu ya watu.

Ni muda muafaka Sasa kutambua rasmi pombe za kienyeji(mataputapu) ikiwepo gongo Ili nazo zichangie uchumi rasmi.

BIA.jpg

My Take
Prof: Janabi asione hii.
20240803_135337.jpg
 
Kumbe bia nayo ina siku yake! Basi nawatakia kila la heri watumiaji wote WA bia duniani kite.
IMG-20240802-WA0010.jpg
 
Kwa kutambua juhudi za walevi kwenye uchumi,2/8 ni siku ya Bia Duniani.

Natoa salute Kwa walevi wote Kwa juhudi zao za kukuza Uchumi Kupitia unuwaji bia ambapo Kwa Tanzania Mapato kutokana na Pombe hufimia karibu Trilioni 1 huku sekta hiyo ikitoa Ajira Kwa maelfu ya watu.

Ni muda muafaka Sasa kutambua rasmi pombe za kienyeji(mataputapu) ikiwepo gongo Ili nazo zichangie uchumi rasmi.

View: https://twitter.com/swahilitimes/status/1819281434693034468?t=khDjMY3UfqBBoCruPxKL-Q&s=19

My Take
Prof: Janabi asione hii.

😂😂😂😂
 
Kherii yako wewe Ndugu,,, Tunashukuru Kwa Kumbukumbu Iliyotukuka,,,Jioni Acha nikachape castle laga za kwenda na kitimoto Kwa ajili ya hii Kumbukumbu
 
Aisee...naichukia hii kitu toka jana. Kumbe mbaya sana. Jana kuna mtu kaniambia nikitumia siendi mbinguni.

Yeye anatumia wali, pilau na biryani. Juice ya tende ikiwa imechanganywa na asali. na vumbi la mkongo. Pombe ni no na hapana maana huwezi kufika mbinguni.

Nimeogopaje? 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom