Leo ni siku ya kuzaliwa Mh. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Leo ni siku ya kuzaliwa Mh. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Boniphace Kichonge

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2017
Posts
1,605
Reaction score
1,957
Wadau
Leo tarehe 22/12/2017 ni siku maalumu sana kwa Watanzania wote kwani ni kumbukumbu ya siku aliyozaliwa Mh Kasimu Majaliwa ambaye ni Waziri Mkuu wa Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Dk John Pombe Maguguli.
Nichukue fursa hii kumtakia kila la kheri pamoja na kumuombea kwa Mungu ili amzidishie nguvu, ujasiri, uvumilivu na baraka tele aweze kutekeleza majukumu yake kikamilifu ya kumshauri na kumsaidia Mh Rais wetu mpendwa anayeongoza mapambano dhidi ya ufisadi.
Mungu akubariki sana Mh Kasimu Majaliwa.
Happy Anniversary!
 
Mleta post hapo unemaliziaHappy anniversary na happy birthday vinafanana?
 
Happy birthday PM. Wishing you long, healthy and successful life with your lovely family.
 
Wadau
Leo tarehe 22/12/2017 ni siku maalumu sana kwa Watanzania wote kwani ni kumbukumbu ya siku aliyozaliwa Mh Kasimu Majaliwa ambaye ni Waziri Mkuu wa Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Dk John Pombe Maguguli.
Nichukue fursa hii kumtakia kila la kheri pamoja na kumuombea kwa Mungu ili amzidishie nguvu, ujasiri, uvumilivu na baraka tele aweze kutekeleza majukumu yake kikamilifu ya kumshauri na kumsaidia Mh Rais wetu mpendwa anayeongoza mapambano dhidi ya ufisadi.
Mungu akubariki sana Mh Kasimu Majaliwa.
Happy Anniversary!
Hakuna kiongozi awamu ya tano anaitwa Dk John Pombe Maguguli
 
Wakati anasherehekea siku yake ya kuzaliwa, aangalie swala la umeme jimboni kwake. Unakatika sana kupindukia kitendo ambacho si cha kiungwana. Giza halikubaliki.
 
Back
Top Bottom