Leo ni Siku ya Pili yule ' Mbabe ' wa ' Twitani ' aliyejizolea ' Umaarufu ' ghafla hajaonekana je, Kulikoni tena?

Leo ni Siku ya Pili yule ' Mbabe ' wa ' Twitani ' aliyejizolea ' Umaarufu ' ghafla hajaonekana je, Kulikoni tena?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nimemtafuta tokea Jana hadi hivi leo sijamuona je, kuna mwana ' Twitani ' Mwenzangu labda amebahatika Kumuona ama akitoa Taarifa zake Nyeti au hata akichangia tu Kimikogo kama kawaida yake?

Nawasilisha.
 
Haaaaaa kigogo yamemkuta au mission accomplish

Naanza Kuingiwa na wasiwasi Mkuu kwani si kawaida kabisa. Na tatizo la Watu wa IT ni kwamba unaweza Wewe ukajifaragua ( ukajimwambafai ) kuwa umeiva na hakuna atakayekuweza huko lakini ukakuta kuna Watu wengine nao tena labda ni ' Majiniasi ' kuliko Wewe nao wamepelekwa Kusoma sehemu nyingine zenye Mabingwa wa IT kuliko Wewe na ambao huenda hata Teknolojia yao iko juu kuliko kule ulikosomea Wewe kisha wakija Kutumika katika ' Kukusaka ' humu Mitandaoni basi Kazi yao inakuwa ni nyepesi ( kama si rahisi ) kisha unaishia Kukamatwa kama vile walivyokamatwa ' Kizembe ' Watu wawili tuliokuwa tukiwasifia kuwa ni ' Mabandidu / Wababe ' kabisa akina Saddam Hussein na Muamar Ghadaffi ambao kwa ile aina ya ' Mikwara ' yao hakuna aliyedhania kuwa wangekuja Kushindwa na Kuishia huko walikoishia na sasa wamebaki kuwa ni Historia tu hapa Ulimwenguni.
 
Mm nimechapwa kidato cha nne nimeshamaliza mtihani, clearance nijaza amebaki headmaster tu atie sahihi kuna kosa nilienda kama miezi 6 iliyopita akaniambia nakuchapa ili maishani ukumbuke kila unapotaka kufanya jambo uangalie madhara yake mbbeleni nilipigwa fimbo 6 mbele ya wanafunzi wote. nikikataa hata saini hapo nimeshachukua sanduku na godoro...... long story ila nilikubali yaishe hadi leo natumia hiyo philosophy. ......
 
Ando maana wamesama tuwe na akiba ya maneno si kila unachokijua unayoisema kukaa kimya kuna manufaa zaidi kuliko kuongea sana

Uko sahihi katika hili Mkuu tena kwa 100% zote. Na Siku zote ' wanaokulengesha ' ni wale wale ambao 24/7 unakuwa nao.
 
Pengine anawavutia kasi au wazee wakujimwambafai washamdaka!

Naanza kupatwa na wasiwasi sana Mkuu kwani siyo kawaida yake kabisa kupotea hivyo kule ' Twitani ' ambako amezoeleka.
 
Mm nimechapwa kidato cha nne nimeshamaliza mtihani, clearance nijaza amebaki headmaster tu atie sahihi kuna kosa nilienda kama miezi 6 iliyopita akaniambia nakuchapa ili maishani ukumbuke kila unapotaka kufanya jambo uangalie madhara yake mbbeleni nilipigwa fimbo 6 mbele ya wanafunzi wote. nikikataa hata saini hapo nimeshachukua sanduku na godoro...... long story ila nilikubali yaishe hadi leo natumia hiyo philosophy. ......

Ushauri wangu tu ni kwamba tuwe Makini na ' tusijimwambafai ' sana huku ' tukivimbishwa ' Kichwa na Watu ambao Siku yakikukuta hakuna hata Mmoja atakuja Kukusaidia huko utakapokuwa sana sana ndiyo hao hao watakusahau upesi na hata kuanza Kukucheka. Mfano hai wa huu ninao ambapo nakumbuka Siku ' Freelance Journalist ' Mtani wangu wa Kihaya Erick Kabendera alipokamatwa humu Mitandaoni kulijaa kila aina ya maneno ya Kumtia Jeuri na Yeye nae akawa anajaa tu Upepo lakini Siku tano ( 5 ) baadae Erick alijikuta yupo peke yake katika Mapambano hadi hivi sasa Yule Yule aliyekuwa Mjeuri mwanzoni kwa ' Kujazwa Upepo ' wa Watanzania wa Mitandaoni ambao wamejawa na ' Unafiki ' mwingi leo anahangaika na Wakili wake kutaka Kuomba Radhi kwa DPP na Kukubali Makosa yake ambayo Siku ya mwanzo aliyakataa kabisa tena huku akiwa na Mikogo yake ya Kihaya.

Haya matukio yatusaidie Kujifunza na tubadilike pia.
 
Naanza kupatwa na wasiwasi sana Mkuu kwani siyo kawaida yake kabisa kupotea hivyo kule ' Twitani ' ambako amezoeleka.
Kuna mdau alinambia Kigogo ni mtandao sio mtu mmoja tusubiri na tune Ila wazee wakujimwambafy hawashindwi kitu. kwangu twitter itapoteza mvuto kidogo mama mila muds ilikufa kuchungulia kuna habari gain.
 
Nimemtafuta tokea Jana hadi hivi leo sijamuona je, kuna mwana ' Twitani ' Mwenzangu labda amebahatika Kumuona ama akitoa Taarifa zake Nyeti au hata akichangia tu Kimikogo kama kawaida yake?

Nawasilisha.
Alitegwa akategeka: tangu aliponyweshwa mkojo wa. BOT na uteuzi wa Afisa tarafa ndipo alipojipeleka kwa wenyewe; amepumzishwa anapostahili
 
Back
Top Bottom