Kwanini kaka?Umezaliwa january dah mna mioyo migumu sana watu wa january
Wapendwa wana Jamiiforums
Leo ni siku yangu ya kuzaliwa, naomba unitakie chochote kile unachoona wewe kinaweza kunifariji na kunifurahisha siku yangu muhimu ya leo. Akhsanteni sana na MUNGU awabariki.
Acha kumtisha mwenzioHappy birthday mkuu... Angalizo ukifika miaka 35 hujajenga nyumba sahau kujenga take care
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tunakumbushana umri unaenda ujuehAcha kumtisha mwenzio
Najua bhana niliweka tu kapost ili ajiongeze[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tunakumbushana umri unaenda ujueh
Akhsante sana mkuu MALCOM LUMUMBAHeri ya siku ya kuzaliwa Mkuu.
Mungu akujalie maisha marefu yenye heri na baraka tele.
Akhsante sana mkuu Felix King ZamanHappy birthday mkuu
Akhsante sana mkuu MentorHappy birthday kijana.
15/01/1990 ...unafikisha miaka 27 sasa.
Hope you live your age and not your shoe size..happy birthday!
Akhsante sana mkuu Iceman 3DHappy birthday man, live long and have a good life
Akhsante sana mkuu KhantweHappy birthday. Mwaka 2017 ukawe wa mafanikio kwako
Akhsante sana mkuu Eliya Dawahappy born day
Akhsante sana mkuu madhabaunyeusinyeusiPia hiyo ndiyo Siku yako ya mafanikio mkuu kinyota ila cha msingi omba mungu hiyo ni fursa kuomba mungu akuongezee mafaniko mazuri ya kimaisha kwa kipindi hki
Sent from my itel it1507 using JamiiForums mobile app
Akhsante sana mkuu NifarHeri ya siku ya kuzaliwa,kila la kheri.
Akhsante sana mkuu 24hrshbd over.....
Akhsante sana mkuu Bailly5Happy birthday to you
Akhsante sana mkuu muhomakilo jrHBD kijana..
Akhsante sana mkuu to yeye