Hongera kwa kuongeza mafungu ya miaka 10.
Kama una utajiri wa moyoni, kutokuwa na hela leo haitamaliza furaha yako.
Furahia na watu uwapendao na wakupendao hasa familia. Kama mko creative mnaweza ifanya iwe funny bila hata pesa.
Kitu muhimu, Enjoy, its ur day!
Happy birthday!
Kwa mchana leo hamli? Au usiku hamli?
Hicho hicho kilichopo, kata keki hata ya ugali.
Heshima mbele wakuu..ebana leo ni cku yangu ya kuzaliwa,ndo nimetimiza miaka 24,namshukuru mungu na me kwa kufikisha idadi ya miaka hyo coz ni wengi walitaman kuifikia bt waliishia njiani.lakni cha kuckitisha hakutakua na tafrija ya aina yoyote as nimefulia sana.over
Happy birthday to u Senetor!! Tafrija sio muhimu sana kama kunyanyua mikono yako na kumshukuru muumba wako kwa kukupa uhai mpaka dakika hii...
Have a wonderful day birthday boi!!
Happy birthday to u Senetor!! Tafrija sio muhimu sana kama kunyanyua mikono yako na kumshukuru muumba wako kwa kukupa uhai mpaka dakika hii...
Have a wonderful day birthday boi!!