Kaselele
Senior Member
- May 19, 2022
- 171
- 476
Muda mwingine huwa najiuliza huyu Mdude anapata wapi kiburi cha kuitukana serikali tena hadharani?
Hivi kweli mtu hawezi kuwa mwanaharakati bila kutukana viongozi wa serikali, kuna ulazima gani kwa mwanaharakati kutumia matusi na kuhatarisha usalama wa taifa?
Anasema ataitisha maandmano kama ya Kenya, amesahu kujiuliza maandamano ya Kenya yameishia wapi?
Je, bei za bidhaa zimeshuka kupitia maandamano yale? Je, mswaada wa fedha haukupitishwa?
Binafsi sioni hawa wanaharakati wa aina ya Mdude wapo kwa maslahi mapana ya Taifa.
Si kitu kizuri kutumia uanaharakati kwa maslahi ya mtu binafsi.
Mdude haya anayoyafanya ni kwa maslahi ya nani?
Hivi kweli mtu hawezi kuwa mwanaharakati bila kutukana viongozi wa serikali, kuna ulazima gani kwa mwanaharakati kutumia matusi na kuhatarisha usalama wa taifa?
Anasema ataitisha maandmano kama ya Kenya, amesahu kujiuliza maandamano ya Kenya yameishia wapi?
Je, bei za bidhaa zimeshuka kupitia maandamano yale? Je, mswaada wa fedha haukupitishwa?
Binafsi sioni hawa wanaharakati wa aina ya Mdude wapo kwa maslahi mapana ya Taifa.
Si kitu kizuri kutumia uanaharakati kwa maslahi ya mtu binafsi.
Mdude haya anayoyafanya ni kwa maslahi ya nani?