Leo nimeamini Simba sc ni waganga

Liver walianza kuchomoa dk ya ngapi na mwisho ushindi waliupataje? Ukumbuke simba hadi dk81 ilikuwa nyumba 2 kwa 0
Manchester United vs Bayern muchen 1999 hadi dakka 90 .Bayern anaongoza 1......91.....93 man akachukua uefa
 
Manchester United vs Bayern muchen 1999 hadi dakka 90 .Bayern anaongoza 1......91.....93 man akachukua uefa
Kuongoza 1 sio shida ila kurudisha goli zaidi ya moja na mwisho ushinde.... Hiyo mifano yote ilifika extra time so mifano yako weka kuleeeee
 
Simba wamenifurahisha sana jirani alikuwa anatuombea mabaya sasa wanatoa mapovu tu. Viva Simba SC
 
Hivi mada nyingine huzioni mkuu hadi ubishi na huyo mbwiga hajui lolote eti a nachagua hadi dakika za kurudisha goal sasa walio weka 90 sijui kuona hamnazo
ngoja nikae kimya.... Kubishana na watoto wa juzi shida sana
 
Mpila ni dk 90 ndiomaana MBAO wakatumia dk 45 zakwanza vizuli na SIMBA wakatumi dk 45 zapili vizuli Apo hakuna uchawi ila uwezo was mbao ndipo ulipo ishia ndio maana wote wakaludi kudifensi.
 
Yanga tuliwarudishia magoli matatu unashangaa nini??
 
Sio samba tu.....hata pale Manchester kuna team inajiita red devils ni waganga kweli.....Usisahau pia majogoo wa anfield walimfanyiaga uganga ac Milan hawatakuwa jusahau...
Unajua kuwa wajerumani ndo baba wa waganga? walimfanya kitu mbaya brazil!!!!......
ACHA USHAMBA WA SOKA MKUU!!!!
 
Mnaeka mifano ya timu za ulaya kwenye ligi yenye timu za mbao na Simba? Duuh. Lkn mpira mpira hesabu hesabu, Kipa wa mbao udakaji gani ule? aliichomesha mbao ikageuzwa majivu.Pia Kuna swali la kizushi Kwanini kipa namba moja wao akudaka?
 
Ile ya liver na Ac milan nayo tuitaje
Ile ya Liver na Milan kule Istanbul Simba tulishailipa mwaka 2013 pale Taifa kwenye ile draw ya 3-3.....unaikumbuka?


Ile come back ya Jana tulikuwa tunalipa deni la Man U na ile come back yao ya karne dhidi ya Bayern '99 pale nou camp
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…