Leo nimeamka nina 'Mood' ya kutaka Kubishana tu tafadhali anayetaka 'Ligi' ya Ubishani nami karibu

Leo nimeamka nina 'Mood' ya kutaka Kubishana tu tafadhali anayetaka 'Ligi' ya Ubishani nami karibu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nasikia kumbe aliyekuwa Rais wa Marekani Barrack Obama alikuwa Shoga ( Gay ) ila kumbe yule tuliyekuwa tunadhani ni Mkewe Michelle Obama hakuwa Mwanamke bali alikuwa ni Mwanaume na inasemekana hata Wamarekani kadhaa ( wenye Akili Kubwa na Udadisi wa Mambo hili ) walilijua ila CIA ilitumia Nguvu kubwa ya Kulizuia lisiwe Mjadala wa Kidunia.

Sasa thubutu tu Kunibishia hili mwenye Mood ya kutaka Kubishana leo hii nilianzishe.

Natumai kila mwana JamiiForums ameamka Salama leo hii Jumamosi na kwa wale wenye Changamoto basi Mwenyezi Mungu awapiganie nyote.

Sote tuwe na Siku Njema ya leo.

I love you all.
 
😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆
 
Nasikia kumbe aliyekuwa Rais wa Marekani Barrack Obama alikuwa Shoga ( Gay ) ila kumbe yule tuliyekuwa tunadhani ni Mkewe Michelle Obama hakuwa Mwanamke bali alikuwa ni Mwanaume na inasemekana hata Wamarekani kadhaa ( wenye Akili Kubwa na Udadisi wa Mambo hili ) walilijua ila CIA ilitumia Nguvu kubwa ya Kulizuia lisiwe Mjadala wa Kidunia.

Sasa thubutu tu Kunibishia hili mwenye Mood ya kutaka Kubishana leo hii nilianzishe.

Natumai kila mwana JamiiForums ameamka Salama leo hii Jumamosi na kwa wale wenye Changamoto basi Mwenyezi Mungu awapiganie nyote.

Sote tuwe na Siku Njema ya leo.

I love you all.
Mie nabisha [emoji23][emoji23] kwakuwa hata Sasha na Malia mama yao ni Michelle sasa inakuwaje Michelle aonekane mwanaume. Najua utakuja na hoja ya kuasili. Utasema waliasili kutoka wapi?
 
............................................
 
Inasadikika enzi za mwana chato wale rafiki zako wapekenyua habari za kitaifa na kuziwasilisha kwenye mamlaka walikutenga na hata zile info chache ulizokuwa unapata enzi za jk hukuwa unazipata tena? Tuanzie hapo kubishana
 
Nasikia kumbe aliyekuwa Rais wa Marekani Barrack Obama alikuwa Shoga ( Gay ) ila kumbe yule tuliyekuwa tunadhani ni Mkewe Michelle Obama hakuwa Mwanamke bali alikuwa ni Mwanaume na inasemekana hata Wamarekani kadhaa ( wenye Akili Kubwa na Udadisi wa Mambo hili ) walilijua ila CIA ilitumia Nguvu kubwa ya Kulizuia lisiwe Mjadala wa Kidunia.

Sasa thubutu tu Kunibishia hili mwenye Mood ya kutaka Kubishana leo hii nilianzishe.

Natumai kila mwana JamiiForums ameamka Salama leo hii Jumamosi na kwa wale wenye Changamoto basi Mwenyezi Mungu awapiganie nyote.

Sote tuwe na Siku Njema ya leo.

I love you all.
Asilimia kubwa ya wahaya wa Karagwe wametokea Rwanda..... bisha sasa
 
Back
Top Bottom