monotheist
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 830
- 1,449
Msela leo magetoni nikaamua kuandaa tena kuku kama wa KFC ni watamu sana yaani
MAHITAJI NILIYOTUMIA;
Vidali viwili, mafuta lita 1, unga wa ngano nusu, soya souce, curry powder, paprika, black pepper, unga wa pilipili inayowasha, chumvi na limao
Mchanganyiko huu nimechanganya kwenye kuku na kwenye unga wa ngano
MAHITAJI NILIYOTUMIA;
Vidali viwili, mafuta lita 1, unga wa ngano nusu, soya souce, curry powder, paprika, black pepper, unga wa pilipili inayowasha, chumvi na limao
Mchanganyiko huu nimechanganya kwenye kuku na kwenye unga wa ngano