Leo nimebakisha chipsi mayai mawili mpaka nimeona aibu

Civilian Coin

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2012
Posts
2,305
Reaction score
4,380
leo majira ya saa 2 na nusu usiku pale kwa sokota temeke niliagiza chipsi na mayai mawili na soda ya pepsi ya baridi lakini nimeshindwa kumaliza kula mpaka nimeona jau.
 
Naiona JF taratibu inapoteza muelekeo wengi wa wachangiaji wa maana wanakaa pembeni wameamua kuwa wasomaji tu, maana utoto mwingi, threads zisizo na maanadili dharau kwa baadhi ya wachangiaji, siasa nyingi, ya maana Ni machache na hupingwa au kukosa wachangiaji
 
Kufutwa kwa nyuzi mara kwa mara imesababisha tuhamie huku,, huku hakuna ban wala uzi haufutwi ..karibu kama mm nlivyokaribia rasmi
 
Kufutwa kwa nyuzi mara kwa mara imesababisha tuhamie huku,, huku hakuna ban wala uzi haufutwi ..karibu kama mm nlivyokaribia rasmi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…