Leo nimebakisha chipsi mayai mawili mpaka nimeona aibu

Umeanza kukomaa kuwa Wa daslam.


Endelea kutupa mrejesho kwa sisi Wa huku mkoani
 
leo majira ya saa 2 na nusu usiku pale kwa sokota temeke niliagiza chipsi na mayai mawili na soda ya pepsi ya baridi lakini nimeshindwa kumaliza kula mpaka nimeona jau.

CHA AJABU NINI? HIVI UNYWE PEPSI YOTE NA CHIPSI MAYAI, HILO LITAKUWA TUMBO AU KIROBA?
 
Nmemaliza kula kitimoto ½
Na ndiz 4

Nashushia na nyag yang hapa

Kweli wanaume wa DSM
Mlizaliwa bahat mbaya
Mi ndo kwanza namaliza kilo nzima na ugali dona wa kutosha na parachichi mbili kubwa na tango moja huku nikishushia na maziwa mtindi, kisha baada ya lisaa limoja napiga maji kilimanjaro ya lita na nusu, kisha modogo mdogo natembea kwa miguu kwenda masikani mwendo wa kama lisaa hivi, sitaki cha pikipiki, bajaji wala daladala.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…