Leo nimechekesha abiria kwenye treni

Leo nimechekesha abiria kwenye treni

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210
Mzuka Wanajamvi,

Naingia tu kwenye treni nakaa kwa mbele yangu baguzi mzee akaanza kunishambulia Do you have ticket go back to Africa.

Nilimind lakini nimeshazoea nikamjibu I am not going anywhere I will stick my blackass here forever.

Abiria waliangua kicheko cha hatariii.
 
Mzuka Wanajamvi,

Naingia tu kwenye treni nakaa kwa mbele yangu baguzi mzee akaanza kunishambulia Do you have ticket go back to Africa.

Nilimind lakini nimeshazoea nikamjibu Am not going anywhere I will stick my blackass here forever.

Abiria waliangua kicheko cha hatariii.
Nchi gani hiyo?

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Mzuka Wanajamvi,

Naingia tu kwenye treni nakaa kwa mbele yangu baguzi mzee akaanza kunishambulia Do you have ticket go back to Africa.

Nilimind lakini nimeshazoea nikamjibu Am not going anywhere I will stick my blackass here forever.

Abiria waliangua kicheko cha hatariii.
Angekulamba makofi hapo kwenye black.qss
 
Mzuka Wanajamvi,

Naingia tu kwenye treni nakaa kwa mbele yangu baguzi mzee akaanza kunishambulia Do you have ticket go back to Africa.

Nilimind lakini nimeshazoea nikamjibu Am not going anywhere I will stick my blackass here forever.

Abiria waliangua kicheko cha hatariii.

Unachekesha wazungu kwa kutaja matako yako meusi?
Mleta mada sampul ya Ggigy🏃‍♂️
 
Wewe ndo yule eti mimi ni mkristo lakini siitetei Israel nailaani na kuipinga kwa kuishambulia Palestina.

Sasa kama wewe ni mkristo ili iweje sasa wee nyau?
Hahahahas si anajua kuwa WAYAHUDI SIO WAKRISTOO
 
Mzuka Wanajamvi,

Naingia tu kwenye treni nakaa kwa mbele yangu baguzi mzee akaanza kunishambulia Do you have ticket go back to Africa.

Nilimind lakini nimeshazoea nikamjibu Am not going anywhere I will stick my blackass here forever.

Abiria waliangua kicheko cha hatariii.
Weka video!
 
Back
Top Bottom