wamaukweli
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 1,084
- 1,277
Wengi huwa wako kwaajili ya pesa,na kunakuwaga na chumba cha siri cha kubanjukia,wengi wao wameadhilika,wezi na ukiingia kichwakichwa utaambulia magonjwa ya zinaa na kuchezew picha la kihindi uibiwe kila kituLeo hii mkuu. Sheeda. Vibint vyenyewe vidogo. Kweli leo nimeshikwa
Kuna ukweli kwa % nyingi .Wengi huwa wako kwaajili ya pesa,na kunakuwaga na chumba cha siri cha kubanjukia,wengi wao wameadhilika,wezi na ukiingia kichwakichwa utaambulia magonjwa ya zinaa na kuchezew picha la kihindi uibiwe kila kitu
Hahahagahaha...Niliwahi siku moja tu na nilipopata upenyo waliona vumbi tu.
Katika mazingira gani mkuu. Tatizo ni vituko wanavyotufanyia.Dawa ni kuwatafuna tu, na si kuwakimbia
Shida ni scrub au miwaya?binafsi sipendi mwanaume anayefanya mascrub!unataka upate nini huko kwenye scrub !raha ya mwanaume awe na ngozi kavu kavu mixer na ndevu uchomwe chomwe kwa cheeks!sasa men kidevu lainiiii !pyeee !
mtakufa kwa miwaya shauri zenu endekezeni tu madude hayo!
vyote vyote mkuuShida ni scrub au miwaya?
Vumbi la mkongo hiloNiliwahi siku moja tu na nilipopata upenyo waliona vumbi tu.
Sawa mkuu .vyote vyote mkuu
Ungeondoka na kimoja mkuuLeo hii mkuu. Sheeda. Vibint vyenyewe vidogo. Kweli leo nimeshikwa
Wivu tu unakusumbua.binafsi sipendi mwanaume anayefanya mascrub!unataka upate nini huko kwenye scrub !raha ya mwanaume awe na ngozi kavu kavu mixer na ndevu uchomwe chomwe kwa cheeks!sasa men kidevu lainiiii !pyeee !
mtakufa kwa miwaya shauri zenu endekezeni tu madude hayo!
huendaWivu tu unakusumbua.
Mimi sijui chochote ndio nimejaribu leo na ndio mwisho wangu kufanya hii kituKha! Mkuu umenichekesha.. Huo mchanga mchanga unaitwa apricot seed!
mashujaa wa kijani wamemgalagaza nyau kwa penati nimefurahi sanaHanma. Nashukuru kulikuwa na tv ikionyesha game ya simba na green nini sijui. Kila nikijaribu kuangalia kwa ajili ya kupotezea ananigeuza shingo. Dah kweli shetani ana jinsia ya kike.
Haahahahahh.Kuna Mdada huwa anawafanyia midume facial scrub maeneo ya Moshi stand ( juu ghorofani) na ana yako kubwa sana...,akiwa anamfanyia mwanaume hyo facial scrub,kisogo cha mwanaume anakiweka katkati ya kifua chake,wanaume wenzetu huwa wanalia kama watoto wadogo!