Tunzo
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 4,082
- 2,402
Kweli nyumbani kulianza kunoga, basi kadhaa tukarudi kwa machale, kukawa na ile huduma ua BUFEE (MPYA) ya kujipangie, yani kama nataka MB tu najichagulia na kama ni dakika tu, nachagua, na kama ni vyote najipangia kua MB ngapi, Dakika ngapi na sms ngapi, najiunga ninavyotaka.
Ila naona siku kadhaa wamepandisha bei za kujiunga ambavyo ni zaidi ya mitandao mingine. Ni bora 1000 ujiunge mitandao mingine kuliko Bufee ya TTCL, yani pamoja na huduma za kawaida sana mmeamua kupandisha vifurushi.
Mfano mitandao mingine 1000 unapata MB 500, dakika 40 na sms 10, ukija TTCL ili upate hii lazima uwe na karibia 1200, bado mwendo wa kawaida, Bora niiweke pembeni.
Kwaherini, mkijirekebisha nitarejea
Ila naona siku kadhaa wamepandisha bei za kujiunga ambavyo ni zaidi ya mitandao mingine. Ni bora 1000 ujiunge mitandao mingine kuliko Bufee ya TTCL, yani pamoja na huduma za kawaida sana mmeamua kupandisha vifurushi.
Mfano mitandao mingine 1000 unapata MB 500, dakika 40 na sms 10, ukija TTCL ili upate hii lazima uwe na karibia 1200, bado mwendo wa kawaida, Bora niiweke pembeni.
Kwaherini, mkijirekebisha nitarejea