Ni bado sana aisee. Mhudumu anarusha maneno kwa mteja kwenye eneo la biashara, kwel???!!!!!!Na uliyotolewa nje kwa sababu wanajua wana chinji yako.
Nadhani hutarudi tena hapo.bongo bado sana tukija kwenye masuala ya service.ni zero kabisa.
Nilitaka fanya fujo kama noma na iwe noma but jamaa wakanicool down. Ila nliogopa pia npo ugenini unajuaHuyo alikupunja chenchi yako kwa makusudi kwa sababu alijua kuwa hakuna m2 anayeweza kukutetea,kuna jamaa alishawahi kutaka kunifanyanyia kitu kama hicho maeneo ya Buguruni sheli,namshukur Mungu nilicheza na akili za watu wakanisaidia!
Shemeji, Junior hajambo?Poleeeeeee sana
Ushirikiano upi, JF hatuna kikobaJaman mm n mwana mpotevu naomben ushilikian wen jaman
Ha ha ha.Ni bado sana aisee. Mhudumu anarusha maneno kwa mteja kwenye eneo la biashara, kwel???!!!!!!
Hii nchi bado sana aiseeHa ha ha.
Yani mhudumu anamtreat mteja kama adui yake
Hii nchi bado sana aiseeHa ha ha.
Yani mhudumu anamtreat mteja kama adui yake