Leo jamaa akaniambia twende sehemu tulivu kupata chochote! kwa sababu tuliekuwa nae tumepoteana kitambooo!
Leo tulivo kutana akanipeleka viwanja fulan hapa dar. kumbe sehemu hiyo si wanapika nyama ya kongoro! akaagiza kwato mbili, yakwangu na ya kwake na supu yake! heheheeee nikaamua kutest bwana maana hii kitu sijawahi jaribu!
Kumbe kongoro tamu!