leo nimekunywa supu ya kongoro.

leo nimekunywa supu ya kongoro.

rusesa

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2013
Posts
538
Reaction score
234
leo ni siku ambayo nimekutana na rafiki yangu kipenzi. Basi akaamua kunipeleka viwanja fulan hapa dar!

Nikamwona rafiki yangu akiagiza bakuri mbili za supu! zikaletwa, kuzichek nikakuta ni supu ya kongoro, tena kwato za ng'ombe. Basi tukainywa!

Aiseeee... kumbe supu ya kongoro tamuu mjarabu!

Na maisha yangu mazuri na pesa na kazi nzuri, nilikuwa sijawahi kunywa supu hii!
 
leo ni siku ambayo nimekutana na rafiki yangu kipenzi. Basi akaamua kunipeleka viwanja fulan hapa dar!

Nikamwona rafiki yangu akiagiza bakuri mbili za supu! zikaletwa, kuzichek nikakuta ni supu ya kongoro, tena kwato za ng'ombe. Basi tukainywa!

Aiseeee... kumbe supu ya kongoro tamuu mjarabu!

Na maisha yangu mazuri na pesa na kazi nzuri, nilikuwa sijawahi kunywa supu hii!
we mburula kweli kakwambia nani venie pesa na maisha mazuri hawali soup ya kongoro? mimi nimekuwa nikiila sana hardi na barack obama
 
Ok,yatosha tu kusema hujawahi kunywa supu ya kongoro..hayo mrngine ya pesa,kazi na maisha mazuri yametokea wapi au kongoro sh.ngapi.Either tangaza kuna warembo/mrembo unataka kumng'oa hapa kwa gear hiyoo!
 
Ok,yatosha tu kusema hujawahi kunywa supu ya kongoro..hayo mrngine ya pesa,kazi na maisha mazuri yametokea wapi au kongoro sh.ngapi.Either tangaza kuna warembo/mrembo unataka kumng'oa hapa kwa gear hiyoo!
hahahaha
 
Angalia usiwe mtembezi/mzururaji kwa maana nasikia wanaopenda kula sana miguu ya kuku au ng'ombe na supu yake huwa watembezi balaaaaaaaaaa
 
Back
Top Bottom