Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Hao wanachanjwa wakiwa watu wazima au watoto wasiojua hata kukataa?Heri yako; kwani ulizaliwa lini? Watu wote waliozaliwa Tanzania kuanzia mwaka 1970 huwa wanachanjwa BCG dhidi ya kifua kikuu; je uliiogopa BCG pia ukarudi nyumbani?
Niliweza kuchanja kituo cha afya yombo vituka kwa kweli muamko ni wa chini sana ila baada ya kuchoma hali yangu ilikuwa kama homa nikapata panadol lakini naendelea vizuri ila ya waziri gwajima sijajaribiUnaogopa bure tu. Mimi nimechanja na niko vizuri tu.
Nilipata kihoma fulani tu, nikanywa maji na kumeza Panadol basi.
Hicho kitabu cha Laya Yoga nimekisoma and it proved to be quite interesting.Leo, yaani jana Jumamosi nimekwenda Muhimbili kuchanja Corona. Nimeingia katika geti, nilikuwa nashangaa shangaa pale akaja mwanamke mmoja akaniuliza, "Kwani ulikuwa unataka kwenda wapi?" Nikamwambia nataka kuchanja Corona. Akaniambia pita pale hospitali ya Jakaya, halafu mbele kule kuna jengo la kutibu watoto, ndipo wanapochanja Corona.
Kwa hiyo nikaenda mpaka kule, lakini nilipofika pale nikaogopa kuingia ndani, nikarudi. Nikaamua kwamba labda naweza kufanya mazoezi ya yoga, laya yoga, raja yoga, sahaja yoga, whatever, lakini sitaki kuchanja.
View attachment 1913715
Kachanje pls, virus ni vibaya sana.Leo, yaani jana Jumamosi nimekwenda Muhimbili kuchanja Corona. Nimeingia katika geti, nilikuwa nashangaa shangaa pale akaja mwanamke mmoja akaniuliza, "Kwani ulikuwa unataka kwenda wapi?" Nikamwambia nataka kuchanja Corona. Akaniambia pita pale hospitali ya Jakaya, halafu mbele kule kuna jengo la kutibu watoto, ndipo wanapochanja Corona.
Kwa hiyo nikaenda mpaka kule, lakini nilipofika pale nikaogopa kuingia ndani, nikarudi. Nikaamua kwamba labda naweza kufanya mazoezi ya yoga, laya yoga, raja yoga, sahaja yoga, whatever, lakini sitaki kuchanja.
View attachment 1913715
Hivi hiii dose ya sasa ina expaya lini nataka niiwahi au nisubiri ya kichina?Kachanje pls, virus ni vibaya sana.
December..plz don't take the vacc.Hivi hiii dose ya sasa ina expaya lini nataka niiwahi au nisubiri ya kichina?
mkuu tangu dunia ianze, hakuna aliyewahi kuona kirusi, ni nadharia tu.Kachanje pls, virus ni vibaya sana.
Why mkuu?December..plz don't take the vacc.
#MaendeleoHayanaChama
Miezi kadhaa iliyopita watu karibia 5000 walikuwa wanakufa kwa siku.mkuu tangu dunia ianze, hakuna aliyewahi kuona kirusi, ni nadharia tu.
na sasa hivi hali ikojeMiezi kadhaa iliyopita watu karibia 5000 walikuwa wanakufa kwa siku.
sikatai, lakini bado ukweli unabakia kuwa ni kweli kabisa hakuna aliyewahi kuona kirusi. Wataalamu wengi wanasema hivi: Uwezekano mkubwa ni kuwa watu wanadhurika kutokana na sumu, kitu wanachoita toxemia. Najua ni vigumu SANA kuwashawishi watu kuhusu mambo ambayo wameaminishwa kwa miaka na miaka, lakini waandishi wa kitabu kiitwacho VIRUS MANIA wanasema hivi LOLA70Miezi kadhaa iliyopita watu karibia 5000 walikuwa wanakufa kwa siku.