Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,380
Ok tumuweke kwenye matazamio kwa miaka 10Nimeona bola ajiunge umu tu kuliko kujiunga fb naona mpaka akimaliza la saba atakuwa na uwezo mkubwa wa kujenga hoja.
La tano! Huenda ukamharibu badala ya kumjenga. Jf kuna mchanganyiko wa mambo mazuri na mabaya pia, darasa la tano hatakua na uwezo wa kuchagua lipi zuri alifate na lipi baya aliache. Think twiceNimeona bola ajiunge umu tu kuliko kujiunga fb naona mpaka akimaliza la saba atakuwa na uwezo mkubwa wa kujenga hoja.
HongeraNimeona bola ajiunge umu tu kuliko kujiunga fb naona mpaka akimaliza la saba atakuwa na uwezo mkubwa wa kujenga hoja.
Ila sio siri stroke,hiyo avatar yako unaweza kuibadili?kama inawezekana ntashukuru.Aisee kumbe ndio maana matusi hayaishi humu jamvini??
Tatizo ni umri.
Na wewe una miaka mingapi ndugu??
Inakutisha? Au inakukumbusha kitu?Ila sio siri stroke,hiyo avatar yako unaweza kuibadili?kama inawezekana ntashukuru.
Inakutisha? Au inakukumbusha kitu?[/QUOT
Huwa sijisikii vizuri nikiiona,najikuta mpk napuuza alichoandika.sijui ndo mwenyewe huyo?
samahani mkuu; wewe ndiye mdogo wake mleta mada??Ila sio siri stroke,hiyo avatar yako unaweza kuibadili?kama inawezekana ntashukuru.