Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Wanabodi,
leo nikiwa natoka mahali kwa kutumia public transport, ukapigwa wimbo wa King Kikii, kitambaa cheupe, hivyo from no where, nimetokea kumkumbuka mwanamuziki mkongwe huyu, jina kamili ni Kikumbi Mwanza Mpango, aka King Kikii, kumbe pia alikuwa na vibwagizo fulani vya kisiasa vya kiaina.
Kwenye wimbo huo, kuna versi aliimba
"Bongo ina mambo mengi mama eeh
Kila kukuchapo kuna mambo mapya,
Tuyazingatie ya kwetu,
Wala tusiwape muda Karagosi".
Karibu msikilize
Verse hiyo imenifikirisha sana, haswa kwenye muktadha wa uchaguzi mkuu wetu kwa upande wa urais.
Japo kikaragosi kwa kizungu ni cartoon, caricature, marionette, jee hapa kwenye neno Karagosi, King Kikii alimaanisha nini?.
Nani ni Karagosi au karagosi ni nani?.
Sijui kwa sasa King Kikii yuko wapi na ana hali gani, hivi kumbukumbu kama hizi, hazichelewi kumuibua na wote tuksmfahamu Karagosi ni nani!.
Paskali
leo nikiwa natoka mahali kwa kutumia public transport, ukapigwa wimbo wa King Kikii, kitambaa cheupe, hivyo from no where, nimetokea kumkumbuka mwanamuziki mkongwe huyu, jina kamili ni Kikumbi Mwanza Mpango, aka King Kikii, kumbe pia alikuwa na vibwagizo fulani vya kisiasa vya kiaina.
Kwenye wimbo huo, kuna versi aliimba
"Bongo ina mambo mengi mama eeh
Kila kukuchapo kuna mambo mapya,
Tuyazingatie ya kwetu,
Wala tusiwape muda Karagosi".
Karibu msikilize
Verse hiyo imenifikirisha sana, haswa kwenye muktadha wa uchaguzi mkuu wetu kwa upande wa urais.
Japo kikaragosi kwa kizungu ni cartoon, caricature, marionette, jee hapa kwenye neno Karagosi, King Kikii alimaanisha nini?.
Nani ni Karagosi au karagosi ni nani?.
Sijui kwa sasa King Kikii yuko wapi na ana hali gani, hivi kumbukumbu kama hizi, hazichelewi kumuibua na wote tuksmfahamu Karagosi ni nani!.
Paskali