Leo nimemuua paka

Leo nimemuua paka

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Yule paka usiku huu alikuwa pembeni ya barabara pale karibu na Ubalozi wa Oman, Mikocheni.

Nimekwenda nikamwona, a kitten, a scraggy kitten, nikafikiria kumchukua niende nae nyumbani.

Yule paka aliponiona akastuka akakimbia kuelekea barabarani anataka kuvuka barabara, jambo ambalo lisingewezekana,magari yalikuwa mengi sana. The rest is history. RIP kitten.

Nasikitika sana. Kwamba nilikosa imagination ya kufikiria kwamba paka angeyavamia yale magari.
Ingekuwa binadamu yule sasa ningekuwa Oyster Bay Police.
 
Biblia sijui inasemaje. Lakini haya makosa mtu anatakiwa kuungama which is what I have done.
Nimefikiria why did this happen?
Nikaamua kwamba leo na jana nilikuwa nafuatilia sana habari za Mexican drug cartels; Sinaloa, Jalisco New Generation,na Ile cartel ya Colombia,Gulf Clan. Nadhani haya mambo yameniletea laana.
 
Yule paka usiku huu alikuwa pembeni ya barabara pale karibu na Ubalozi wa Oman, Mikocheni.

Nimekwenda nikamwona, a kitten, a scraggy kitten, nikafikiria kumchukua niende nae nyumbani.

Yule paka aliponiona akastuka akakimbia kuelekea barabarani anataka kuvuka barabara, jambo ambalo lisingewezekana,magari yalikuwa mengi sana. The rest is history. RIP kitten.

Nasikitika sana. Kwamba nilikosa imagination ya kufikiria kwamba paka angeyavamia yale magari.
Ingekuwa binadamu yule sasa ningekuwa Oyster Bay Police.
Pole sana mkuu.
Kupenda wanyama na hasa huyo paka aliyekosa makazi ni ishara ya Utu wema na utajiri wa roho.
Najua vile nafsi yako inatamani yule paka arudie uzima lkn kwa bahati mbaya ndiyo basi tena. Mungu akupe nguvu kusahau mabaya yote kwakuwa yametokea katika hali ya Upendo na Utu.
 
Nilikuwa natembea.
Siku hizi Sina gari.
Zamani pale walikuwa wanasema ukiona Dar land Rover inaendeshwa at 100 miles an hour,basi huyo labda ni Andrew.
Vipi wale jamaa wa Butiama waliopanga kukumaliza uhasama umeisha?
 
Paka anayekimbia watu ana roho chafuu paka wa nyumbani amejaa upendo na anapenda watu
 
Back
Top Bottom