Ndugu yangu
JF-Expert Member
- Aug 3, 2013
- 676
- 359
Kiongozi una gari, inavyoonyesha huna, siku umenunua tena iwe yenye 0 km, ndipo utajua ukubwa wa tatizo lilivyo, uspotoa anakukatia risiti ya faini ili kukukomoa, hii tatizo ni kwa kila geti walilosimama tena ni nchi nzimaBora utowe za kubrashia viatu, maana Magari ya wabongo mengi ni Vimeo yakikaguliwa huwezi kosa Makosa kibao! Kwa hiyo Askari wetu wa barabarani wanahuruma sana,we unazani wakiamua kukomaa kuangalia mapungufu ya chombo chako Cha Moto nani atabaki road!?
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Toa pesa ya kubrashia viatu, wakikupiga vyeti utakuja ulalialia humuNilichukua gari kwenda kupokea mzigo wangu kutoka mkoani pale Mbezi Kibada cha mkaa.
Wakati tunaenda tulipiti njia ya wazo hili na kutokea barabara ya Goba. Njiani nilisimamishwa na maaskari mara tatu, kila mala wakimwambia dereva wanataka kukagua lesseni yake. Kumbe hiyo ni lugha ya kutaka pesa na dereva wangu alikuwa akiambatanisha lesseni na shs 2000.
Polisi baada ya kupokea hela walirudisha leseni tukaendelea na safari. Ilifika mahali nikawajia juu askari na kuwaambia kuwa usumbufu wao unachanguankuua biashara.
Askari mmoja mkurya ana mvi alinitishia ila sikutishika.
Baada ya kupakia mzigo tukapitia njia ile ile. Kuingia tu barabara ya goba tukasimamishwa, baada ya kilometa kama mbili tukawakuta tena askari wawili wa kike wana gari hurrier pembeni nao wakikusanya pesa nk.
Nachotaka kusema ni kuwa usumbufu wanaopata wafanyabishara jijini kutoka kwa askari hawa unachangia kuongeza ugumu wa maisha kwani usafirishaji bidhaa unakuwa juu sana kutokana rushwa ya polisi, na mzigo mwishoni utamuangukia mlaji wa mwisho.
Nimeambiwa kuwa mchezo huu ni rasmi ndani ya Jeshi la Polisi na kila Askari analazimika kupeleka mga kwa wakubwa zake hadi unamfikia mkubwa kabisa.
TAKUKURU wanajua, usalama wa taifa wanajua na Rais analijua. Je, inawezekana kwa kuwa traffic wamegeuka TRA hayo ndiyo malipo yao?
Leta ushahidi wa picha mnato au videoNilichukua gari kwenda kupokea mzigo wangu kutoka mkoani pale Mbezi Kibada cha mkaa.
Wakati tunaenda tulipiti njia ya wazo hili na kutokea barabara ya Goba. Njiani nilisimamishwa na maaskari mara tatu, kila mala wakimwambia dereva wanataka kukagua lesseni yake. Kumbe hiyo ni lugha ya kutaka pesa na dereva wangu alikuwa akiambatanisha lesseni na shs 2000.
Polisi baada ya kupokea hela walirudisha leseni tukaendelea na safari. Ilifika mahali nikawajia juu askari na kuwaambia kuwa usumbufu wao unachanguankuua biashara.
Askari mmoja mkurya ana mvi alinitishia ila sikutishika.
Baada ya kupakia mzigo tukapitia njia ile ile. Kuingia tu barabara ya goba tukasimamishwa, baada ya kilometa kama mbili tukawakuta tena askari wawili wa kike wana gari hurrier pembeni nao wakikusanya pesa nk.
Nachotaka kusema ni kuwa usumbufu wanaopata wafanyabishara jijini kutoka kwa askari hawa unachangia kuongeza ugumu wa maisha kwani usafirishaji bidhaa unakuwa juu sana kutokana rushwa ya polisi, na mzigo mwishoni utamuangukia mlaji wa mwisho.
Nimeambiwa kuwa mchezo huu ni rasmi ndani ya Jeshi la Polisi na kila Askari analazimika kupeleka mga kwa wakubwa zake hadi unamfikia mkubwa kabisa.
TAKUKURU wanajua, usalama wa taifa wanajua na Rais analijua. Je, inawezekana kwa kuwa traffic wamegeuka TRA hayo ndiyo malipo yao?
Ndiyo Ukweli Wenyewe
Nasema Uongo Ndugu Zangu
Bora utowe za kubrashia viatu, maana Magari ya wabongo mengi ni Vimeo yakikaguliwa huwezi kosa Makosa kibao! Kwa hiyo Askari wetu wa barabarani wanahuruma sana,we unazani wakiamua kukomaa kuangalia mapungufu ya chombo chako Cha Moto nani atabaki road!?
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Mkuu alishasema hapo ndo wanapopatia ela ya kununua hata dawa za kubrush viatuNilichukua gari kwenda kupokea mzigo wangu kutoka mkoani pale Mbezi Kibada cha mkaa.
Wakati tunaenda tulipiti njia ya wazo hili na kutokea barabara ya Goba. Njiani nilisimamishwa na maaskari mara tatu, kila mala wakimwambia dereva wanataka kukagua lesseni yake. Kumbe hiyo ni lugha ya kutaka pesa na dereva wangu alikuwa akiambatanisha lesseni na shs 2000.
Polisi baada ya kupokea hela walirudisha leseni tukaendelea na safari. Ilifika mahali nikawajia juu askari na kuwaambia kuwa usumbufu wao unachanguankuua biashara.
Askari mmoja mkurya ana mvi alinitishia ila sikutishika.
Baada ya kupakia mzigo tukapitia njia ile ile. Kuingia tu barabara ya goba tukasimamishwa, baada ya kilometa kama mbili tukawakuta tena askari wawili wa kike wana gari hurrier pembeni nao wakikusanya pesa nk.
Nachotaka kusema ni kuwa usumbufu wanaopata wafanyabishara jijini kutoka kwa askari hawa unachangia kuongeza ugumu wa maisha kwani usafirishaji bidhaa unakuwa juu sana kutokana rushwa ya polisi, na mzigo mwishoni utamuangukia mlaji wa mwisho.
Nimeambiwa kuwa mchezo huu ni rasmi ndani ya Jeshi la Polisi na kila Askari analazimika kupeleka mga kwa wakubwa zake hadi unamfikia mkubwa kabisa.
TAKUKURU wanajua, usalama wa taifa wanajua na Rais analijua. Je, inawezekana kwa kuwa traffic wamegeuka TRA hayo ndiyo malipo yao?
Hayo ndiyo madhara kwa Taifa kuongozwa na mataputapu!
Huyo haelewekagiMkuu alishasema hapo ndo wanapopatia ela ya kununua hata dawa za kubrush viatu
Ukinipa kwanza ushahidi kuwa babako ndiyeLeta ushahidi wa picha mnato au video
Atakuwa hata yeye hajielewi elewi.Huyo haelewekagi
Huenda unaishi shamba au ni askari trafficSasa mbona hamna sehem uliyoombwa rushwa kwenye maelezo yako? Kama kaomba lesen mpe lesen alaf kauka anahaki ya kukagua ila hana haki ya kuomba rushwa.
Kwahiyo hapo kosa ni la Dereva wako alietoa rushwa bila kuombwa
Kiongozi una gari, inavyoonyesha huna, siku umenunua tena iwe yenye 0 km, ndipo utajua ukubwa wa tatizo lilivyo, uspotoa anakukatia risiti ya faini ili kukukomoa, hii tatizo ni kwa kila geti walilosimama tena ni nchi nzima
Kuna taasisi ilizindua kimfumo fulani ati cha kukamatia wala rushwa, najifunza kuwa ilikuwa mfumo wa ulaji hauna tofauti na ule wa SIM card moja mitandao yote na hata lile dudu liliitwa BRN, yote ni janjajanja ya kula pesa ya ummaWakati tunaenda tulipiti njia ya wazo hili na kutokea barabara ya Goba. Njiani nilisimamishwa na maaskari mara tatu, kila mala wakimwambia dereva wanataka kukagua lesseni yake. Kumbe hiyo ni lugha ya kutaka pesa na dereva wangu alikuwa akiambatanisha lesseni na shs 2000.