Leo nimeota kaja dukani kwangu

Leo nimeota kaja dukani kwangu

Stability

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2020
Posts
306
Reaction score
706
Aiseeeh, kichaa kaja tu dukani sikumbuki vurugu yoyote aliofanya despite ile kutokuwa comfortable na ujio wake

Hii inaweza kuwa inamaanisha nini.

Maana napitia kipindi kigumu sana katika biashara yangu

Bado na majanga ya haya:

 
Sasa huyo kichaa ndiye anayefukuza wateja,

Imagine mteja anakuja na kumkuta kichaa/ msukule mlangoni mwa biashara Yako!
 
Kumuota kichaa yaani kile kitendo cha kumuota tu haijalishi yuko wapi au anafanya nn hiyo ni dalili ya kuandamwa na maadui zako.

Kuota anafukuzwa na kichaa ajue anatembelewa na hasara katika kazi zake.

Kuota anafukuzwa na kichaa na akampata na kuaza kumpiga ajue ajue ataaza kufilisika na kuwa chini kimaisha.

Kuota anapewa msaada na kichaa basi mtu huyo atanyanyuka kimaisha.


Ndoto za kichaa ni ishara ambayo muotaji anatakiwa achukue tahadhari kulingana na maana halisi atakayoipata kwa mujibu wa uhalisia wa maisha yake
 
Kumuota kichaa yaani kile kitendo cha kumuota tu haijalishi yuko wapi au anafanya nn hiyo ni dalili ya kuandamwa na maadui zako.

Kuota anafukuzwa na kichaa ajue anatembelewa na hasara katika kazi zake.

Kuota anafukuzwa na kichaa na akampata na kuaza kumpiga ajue ajue ataaza kufilisika na kuwa chini kimaisha.

Kuota anapewa msaada na kichaa basi mtu huyo atanyanyuka kimaisha.


Ndoto za kichaa ni ishara ambayo muotaji anatakiwa achukue tahadhari kulingana na maana halisi atakayoipata kwa mujibu wa uhalisia wa maisha yake
Ahsante boss
 
Back
Top Bottom