[emoji23] [emoji23] Nyinyi ni wale wale aliosema mtoa madawapi hapo kwa mpalange?
[emoji28][emoji28]kuna watu watafikiri mtoa mada kaenda Buza physically sehem kabisa....kumbe yupo lodge huko singida[emoji23] [emoji23] Nyinyi ni wale wale aliosema mtoa mada
Anakula vyombo vyake weekend hii [emoji23][emoji23][emoji28][emoji28]kuna watu watafikiri mtoa mada kaenda Buza physically sehem kabisa....kumbe yupo lodge huko singida
Buza kwa Mpalange 💥💥💥Kama kuna sehemu nilikuwa naisikia na kuona ni eneo ambalo baya kuna kila aina ya uhaini ukabaji yaani kila aina mambo mabaya ni Manzese muda muda si muda kukaibuka buza yaani kila jambo bays utasikia uku ikanifanya kidogo niende kutembea kuona ayo yanayosemwa aisee buza tofauti na unavyosikia yaani ni mahali pazuri mno kuna maisha mazuri tu kuna mtu aliwahi nambia SAA 12 uwezi kuongea na simu nje barabarani ni uonho tu buza kuzuri kumenoga barabara za lami mpk vichochoroni mataa barabarani kila kona
Aisee nimewaza mbaliWapi hapo kwa mpalange?
Mungu akusameheAisee nimewaza mbali
Hapana, Kuna mcgepuko wangu ulikuwa unaishi huko, kanipiga chini sasa comment yako imefanya nimkumbukeMungu akusamehe