Leo nimepoteza Tsh 200/= Looh! Nimeisakanyua mpaka nimeipata, chezea tozo wewe

Leo nimepoteza Tsh 200/= Looh! Nimeisakanyua mpaka nimeipata, chezea tozo wewe

mshale21

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2021
Posts
2,126
Reaction score
5,068
Wakuu habarini!

Nimeona ni vyema kuwashirikisha mkasa huu uliogeuka furaha baadae.

Leo bana, mida ya saa mbili usiku huu nkitokea dukani, kwa bahati mbaya Sana, nilikuta fedha pungufu ( yaani TSH 200/= haimo kwenye mzigo nliokuwanao mfukoni) nikahisi nimeangusha TSH 200/= wakati nikitoa funguo mfukoni!

Looh! Nimeitafuta kwa juhudi zote huku nafsini mwangu nikijisemea. "Yaani na tozo zote hizi, mimi ni tajiri gani ninaetupa TSH 200/= yote hii? Huku maji yananisubiri kulipia, huku pango, huku Luku yenye tozo, yaani naangusha 200/= yote hii!"

Nimepata nguvu ya kutafuta, nikasakanya kila kona muda wa nusu saa siioni, nikapumzika kidogo, zen nkarudia awamu ya pili ya utafutaji!

Unajua nini kimetokea mwishoni? Nimeipata kwenye funguo nlizokua nimeshikilia mkononi ikiwa imejipachika ndani ya funguo!

Kwa kweli nmefurahi Sana San halooh!

#CHEZEA TOZO WEWE!
 
Hizo funguo ndio tatizo haiwezekani ziifiche mia2 yako.
 
Hongera...kama tozo inatukata wote mkuu.
Kinachofanyika kinaitwa kung'atwa na kupulizwa'

Huku unang'atwa kwa tozo, huku unapulizwa kwa kwa kuambiwa makusanyo ya tozo na distribution yake kwenye sectors mbalimbali!
 
Kiukweli kwa hii Hali 2napitia every cent counts. Hongera mkuu kuipata 200 yako.
 
Kinachofanyika kinaitwa kung'atwa na kupulizwa'

Huku unang'atwa kwa tozo, huku unapulizwa kwa kwa kuambiwa makusanyo ya tozo na distribution yake kwenye sectors mbalimbali!
Sahihi mkuu.
 
Wakuu habarini!

Nimeona ni vyema kuwashirikisha mkasa huu uliogeuka furaha baadae.

Leo bana, mida ya saa mbili usiku huu nkitokea dukani, kwa bahati mbaya Sana, nilikuta fedha pungufu ( yaani TSH 200/= haimo kwenye mzigo nliokuwanao mfukoni) nikahisi nimeangusha TSH 200/= wakati nikitoa funguo mfukoni!

Looh! Nimeitafuta kwa juhudi zote huku nafsini mwangu nikijisemea. "Yaani na tozo zote hizi, mimi ni tajiri gani ninaetupa TSH 200/= yote hii? Huku maji yananisubiri kulipia, huku pango, huku Luku yenye tozo, yaani naangusha 200/= yote hii!"

Nimepata nguvu ya kutafuta, nikasakanya kila kona muda wa nusu saa siioni, nikapumzika kidogo, zen nkarudia awamu ya pili ya utafutaji!

Unajua nini kimetokea mwishoni? Nimeipata kwenye funguo nlizokua nimeshikilia mkononi ikiwa imejipachika ndani ya funguo!

Kwa kweli nmefurahi Sana San halooh!

#CHEZEA TOZO WEWE!
Hongera sana...naomba utusaidie kuwapata walimuomdosha Mwendazake kwenye urais
 
Back
Top Bottom